Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Naona mtandaoni kuwa kubsdilisha gear box oil ni mile /km laki moja kama ilivyoandikwa kwenye manyo za gari ingawa pia inategemea na matumizi ya gari.. Mf. Foleni zetu za simama nenda simama ama kama una vuta mizigo /trelaz mara kwa mara inabidi uwe unacheki oil ubadilikaji wake wa rangi na harufu. Embu chekini hii link wakuu: Do You Really Need to Change the Transmission Fluid?
 
Gear box oil ya gari gani kwanza ? Kama ni za automatic gearbox za gari za kijapan, huwa haitumii oil bali ATF ( Automatic Transmission Fluid ) waswahili tunaita hydraulic oil, inabadilishwa kila baada ya Km 100,000 ( Laki moja ).
Hapana hakuna kitu kama hicho labda uniambie diff oil nitakuelewa lakini sio gearbox hydraulic, sijawahi kuona kitu ya namna hiyo Nimekaa kwenye field ya magari kwa karibia miaka 15 sijawahi kuona kitu ya namna hiyo
 
Mkuu pitia tena madesa
Naweza kuwa nilikuwa nafanya makosa lakini katika maisha yangu ya field ya magari sijawahi kupitisha km elfu kumi bila kubadili gearbox hydraulic
Nina GX 90 baloon iko kijijini niliinunua mwaka 2002 ni ya mwaka 1995 mpaka leo gearbox yake iko fit lakini siri kubwa ni hiyo
 
Naona mtandaoni kuwa kubsdilisha gear box oil ni mile /km laki moja kama ilivyoandikwa kwenye manyo za gari ingawa pia inategemea na matumizi ya gari.. Mf. Foleni zetu za simama nenda simama ama kama una vuta mizigo /trelaz mara kwa mara inabidi uwe unacheki oil ubadilikaji wake wa rangi na harufu. Embu chekini hii link wakuu: Do You Really Need to Change the Transmission Fluid?
Tofautisha magari yakiwa huko yalikotengenezwa na huku tunakoyanunua used. ...ni sahihi km laki moja ikiwa zero kilometres lakini si baada ya kutumika zaidi ya miaka kumi halafu ukanunua wewe kama used car
 
Diff oil, gearbox ATF au oil kama ni manual, ATF ya power steering, radiator coolant, brake/clutch fluid, AC gas ni vitu vya kuongeza tu kama level zake zimepungua sio za kubadilisha, labda baada ya miaka 5. Someni manual booklets za waundaji wa magari.
 
Habari wakuu, nimebadirisha betri , gari ilikuja na betri ya N 40 nikashauliwa kuweka betri ya N 50 , baada tu ya kubadirisha power window ya mlango wa dereva haiwezi kucontrol milango mingine, pia kuna kitaa hapo kwenye power window kinawaka na kuzima. Msaada tutani.
 
Habari wakuu, nimebadirisha betri , gari ilikuja na betri ya N 40 nikashauliwa kuweka betri ya N 50 , baada tu ya kubadirisha power window ya mlango wa dereva haiwezi kucontrol milango mingine, pia kuna kitaa hapo kwenye power window kinawaka na kuzima. Msaada tutani.
Kuna jinsi ya kureboot ngoja kuna mtaalamu atakuja
 
Nikijaza wese wakati gari ipo switch on gauge haipandi kwa nini wadau? Hii kitu imenitokea mara ya pili sasa na gari tofauti tofauti
 
Nikijaza wese wakati gari ipo switch on gauge haipandi kwa nini wadau? Hii kitu imenitokea mara ya pili sasa na gari tofauti tofauti
Kwanza haishauriwi kabisa kujaza mafuta gari ikiwa kwenye silence mode....unatakiwa kuizima kabisa
Pili system zinatofautiana kuna baadhi huona kabisa mshale unapanda kadiri unavyojaza lakini kuna mengine hupanda taratibu
 
Back
Top Bottom