Jaribu kubadilisha ECU huwa haisomi upande wa gear yan muite fundi ajaribu kufunga ECU nyingine uone kama itafanya kazi, hapo ECU itakuwa haina mawasiliano mazuri na gear boxAisee hapo ni shida nilishawahi kukutana na kesi kama hiyo gearbox ikabadilishwa zaidi ya mara nne, unafunga inakuwa poa ila round moja ya kutest ukirudi Kimeo! Gearbox ya mwisho kufungwa ikatulia lakini ulaji mafuta ukawa maradufu
Ushauri : uza hiyo gari utafute nyingine