Kama ukiziba na kiganja kwenye exhaust pipe hakuna marks basi hio ni mvuke sio moshi LA utakuwa umeweka mafuta machafu janaLeo asubuhi nimewasha gari naona inatoa moshi mweupe na haijawahi kutokea. Gari ni toyota verosa linakama wiki 3 toka niagize. Jana usiku ilinyesha mvua kubwa sana na leo haki ya hewa ni baridi sana @ mshana jr
Ngoja nijaribu hilo la kuziba exhaust. Ila mafuta niliweka toka jumapili na haikutoa moshi mweupe. Naweka mafuta gapco.Kama ukiziba na kiganja kwenye exhaust pipe hakuna marks basi hio ni mvuke sio moshi LA utakuwa umeweka mafuta machafu jana
Ok naona ni mvuke maana umeacha kutoka. Nadhani itakua ni baridi ya usiku. Thanks mshana jrNgoja nijaribu hilo la kuziba exhaust. Ila mafuta niliweka toka jumapili na haikutoa moshi mweupe. Naweka mafuta gapco.
Sio shida kubwa kuna baadhi ya redio coolig system yake haiweZi kuipoza kabisa redio na wakati huo huo kuna joto toka kwenye engine linapenya mpaka kwenye dashboard(kwa baadhi ya magari) hivyo kusababisha hii haliHabar wakuu! Nini tatizo la redio, flasher nk kuwa na joto sana kwenye gari wakati naendesha?? Asanteni,
Hamna tatizo, ili mradi uifanyie service nzuri na kukagua hamna tatizo kwenye gari. M niliwahi kusafiri nayo kutoka Dar hadi Bukoba carina T.IWakuu hivi kunatatizo la kiufundi au kiusalama ya kutumia Carina kwa safari ndefu mfano mtwara-arusha?niliplan kununua rav4 ila bajet imegoma
mkuu carina ni gari makini sana. Fanya service, weka oil nzuri,kagua tairi zako, piga gia mkuu yani wala usiwaze hiyo gari ya cc 1490 inaenda popote na hongera kwa kununua moja kati ya gari ambayo haitojuta kuwa nayoHamna tatizo, ili mradi uifanyie service nzuri na kukagua hamna tatizo kwenye gari. M niliwahi kusafiri nayo kutoka Dar hadi Bukoba carina T.I
Ti popote inakwenda na inakula mafuta vizuri kuliko. Nje ya mji inafikia 13km hadi 18km kwa lita 1 ya petrol. Dom - Dar kilomita 450 natumia sh 50,000/ km lita 27 wakari basi nauli ni watu wa2 tu @,25,000Wakuu hivi kunatatizo la kiufundi au kiusalama ya kutumia Carina kwa safari ndefu mfano mtwara-arusha?niliplan kununua rav4 ila bajet imegoma