Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Mimi najipanga nivute Nissan Dualis,nimetokea kuikubali ghafla,karibu wakuu kwa any pros and cons.
 
Mi nimetumia Mark II grande (engine 1G FE vvti) ni gari nzuri sana, japo watu wanazilalamikia ulaji wa mafuta mi sikuona kama inakula sana ukilinganisha na ukubwa wa injini nilikuwa natumia lita 1 kwa 12.5-13km.

Opa sijazitumia ila zina-AZ engine family-ambazo zipo za 1.8 na 2.0.

Vipi upatikanaji wa spare zake na gharama zake kawaida au inakuwaje mkuu?
 
Nina gari aina ya noah lakin inamaliza mapema sana hydrolic oil nini tatizo hafu.stealing hua inakuwa ngumu sana kama gar ipack.naomba msaada
 
Nina gari aina ya noah lakin inamaliza mapema sana hydrolic oil nini tatizo hafu.stealing hua inakuwa ngumu sana kama gar ipack.naomba msaada

Hili tatizo limeshawahi kunitokea.. Mimi nilikuwa natumia nissan navara yaani hydrolic ilikuwa inaisha kwa muda mfupi tu..

Nilivyopeleka kwa fundi akafanyia check up akagundua pipe ya hydraulic ilikuwa inavuja.. Kwa maelezo ya fundi gari yangu ishawahi kupata ajali ( ni kweli) hivyo pipe kugusa engine au kitu cha moto ambacho kilikuwa kinaunguza hio pipe hivyo ikazibwa mambo yapo fresh sasa hivi.

Ushauri wAngu.. Nenda kwa fundi, afungue mfumo wote Wa hydrolic achunguze tatizo. Hakika utapata ufumbuzi.

Ni mategemeo yangu nimesaidia kidogo.
 
Wadau carina TI inakula engine oil. Kila baada ya cku 2 naongeza lita 1. Chk up niliyoifanya moshi hautoki na wala hakuna leakage sehemu yoyote
 
Habari zenu, nashukuru kwa mada hii nzuri. Napenda kufahamu kama kuna mtu anamiliki gari aina ya Volkswagen polo... Kama yupo napenda kufahamu anatumia engine oil gani..
Pia nahitaji kufahamu mahali naweza kupata lock ya mlango na lifter ya kioo cha mlango wa kulia nyuma (rear right hand side/driver's side) na wiper ya nyuma. Natanguliza shukrani
 
Hili tatizo limeshawahi kunitokea.. Mimi nilikuwa natumia nissan navara yaani hydrolic ilikuwa inaisha kwa muda mfupi tu..

Nilivyopeleka kwa fundi akafanyia check up akagundua pipe ya hydraulic ilikuwa inavuja.. Kwa maelezo ya fundi gari yangu ishawahi kupata ajali ( ni kweli) hivyo pipe kugusa engine au kitu cha moto ambacho kilikuwa kinaunguza hio pipe hivyo ikazibwa mambo yapo fresh sasa hivi.

Ushauri wAngu.. Nenda kwa fundi, afungue mfumo wote Wa hydrolic achunguze tatizo. Hakika utapata ufumbuzi.

Ni mategemeo yangu nimesaidia kidogo.

mkuu vipi nissan navara ni imara?
 
mkuu vipi nissan navara ni imara?

Ni imara mkuu.. Ila maintanance yake ni ghali kidogo.

Mfano: kuna taa ya nyuma ilivunjika ya upande mmoja. Dukani ni 250,000/ tena hio ni ya upande mmoja.. Tena hilo duka ndio wanauza nafuu angalau.. Duka LA kwanza kutembelea niliambiwa 320,000/ nikabaki nashika kichwa.

Hili Gari ni zuri na imara pia ila kulitunza Kuna gharama zake. Ni hivyo tu mkuu.
 
Nataka chukua Rav4 gx 2.0,ni bora kuliko aina zingine za Rav 4?,kwa mwenye ujuzi ni aina ipi ya gari hizi ni bora?,msaada wakuu tafadhari.
 
Wadau carina TI inakula engine oil. Kila baada ya cku 2 naongeza lita 1. Chk up niliyoifanya moshi hautoki na wala hakuna leakage sehemu yoyote

kama hakuna mahali inavuja basi ring kwishnei hapo. Kagua uvunguni vizuri kama hakuna ubichi kabisa lazma ni ring piga chini mashine. Mda mwngne sio lazma usubiri moshi utoke hyo kula oil tu ni kipimo tosha. Vp haichemshi?au asbh unaongeza maji kiasi gani kwenye rejeta?
 
kama hakuna mahali inavuja basi ring kwishnei hapo. Kagua uvunguni vizuri kama hakuna ubichi kabisa lazma ni ring piga chini mashine. Mda mwngne sio lazma usubiri moshi utoke hyo kula oil tu ni kipimo tosha. Vp haichemshi?au asbh unaongeza maji kiasi gani kwenye rejeta?

oil itakuwa unavujaa aisee kwa kiwango anacho ongeza nikikubwa sana .
 
kama hakuna mahali inavuja basi ring kwishnei hapo. Kagua uvunguni vizuri kama hakuna ubichi kabisa lazma ni ring piga chini mashine. Mda mwngne sio lazma usubiri moshi utoke hyo kula oil tu ni kipimo tosha. Vp haichemshi?au asbh unaongeza maji kiasi gani kwenye rejeta?
Hatuongezagi maji
 
Nauliza nimeiona gari aina ya mazda verisa.vp itanifaa?naishi mkoa wa mby.naomba ushauri mnaojua magari.
 
Wadau naombeni mnisaidie matumizi ya hiyo shift lock button, na hizo gear S na B
 

Attachments

  • 1447944398092.jpg
    1447944398092.jpg
    88.9 KB · Views: 343
Wadau naombeni mnisaidie matumizi ya hiyo shift lock button, na hizo gear S na B

"S" is for sport. If you're driving on twisty country roads and want to keep the RPM up as you wind through corners, the "S" position is where you want to be. In "S", the transmission holds lower gears longer for more power as you come out of the curves.

The "B" position favors lower gears, too, but for a totally different purpose. Just as you might shift a conventional transmission to Low on a long downhill grade; you can shift into the "B" position to increase engine drag and help slow the vehicle while coasting down a hill.
 
Back
Top Bottom