Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Habari za asubuhi wadau....
Msaada, nina spacio nikiwa naongeza speed toka 30-40 km/h gari inatetemeka fulani hivi ila ikifika 40 na kuendelea inatulia. Huko kutetemeka hutokea tu kati ya 30 to 40. Hivi tatizo linaweza kua ni nini? Na nini tiba yake?
 
Habari za asubuhi wadau....
Msaada, nina spacio nikiwa naongeza speed toka 30-40 km/h gari inatetemeka fulani hivi ila ikifika 40 na kuendelea inatulia. Huko kutetemeka hutokea tu kati ya 30 to 40. Hivi tatizo linaweza kua ni nini? Na nini tiba yake?

Stabiliser links zimechoka sometimes hata ball joints pia
 
Sijui nipo nyuma ya wakati..... Naomba kujuzwa matumizi....maana na care ya airbag kwenye gari
 
Naomba kujuzwa wataalam inashauriwa ninunue gari iliyotembea angalau kilometres ngapi, maana nimepita kwenye mtandao nimekuta kuna magari yana km laki 3 yanauzwa. Ushauri wenu tafadhari n.b hiyo n gari Dogo la kutembelea
 
Naomba kujuzwa wataalam inashauriwa ninunue gari iliyotembea angalau kilometres ngapi, maana nimepita kwenye mtandao nimekuta kuna magari yana km laki 3 yanauzwa. Ushauri wenu tafadhari n.b hiyo n gari Dogo la kutembelea

Pata gari lenye low mileage, the best lisizidi km 50000-100000
 
Sijui nipo nyuma ya wakati..... Naomba kujuzwa matumizi....maana na care ya airbag kwenye gari

Airbags hukusaidia wakati wa ajali tu kulinda usipoteze maisha na ikibidi usipate majeraha kabisa, lifespan ya airbags ni miaka kumi baada ya hapo kiwango cha utendaji kazi hupungua, kuna jinsi ya kuzifanyia service lakini sidhani kama hapa kwetu kuna mafundi wanaweza au kujua hilo
 
Back
Top Bottom