Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Mkuu nauliza hivi, je ukinunua gari la rangi nyeusi kwa mtu anayeishi Dar kuna baya lolote? Yaani pengine litaongeza joto zaidi ndani ya gari au tuseme ni kawaida tu kama gari la rangi nyeupe?
 
Mkuu Dzudzuk Zara za mpunga hizi hapa tuwasiliane what's app Japan number 81 80 5028-3093
ImageUploadedByJamiiForums1425187815.699236.jpg
ImageUploadedByJamiiForums1425187828.600527.jpg
ImageUploadedByJamiiForums1425187839.702700.jpg
 
Mkuu nauliza hivi, je ukinunua gari la rangi nyeusi kwa mtu anayeishi Dar kuna baya lolote? Yaani pengine litaongeza joto zaidi ndani ya gari au tuseme ni kawaida tu kama gari la rangi nyeupe?

Joto lipo ila zingatia AC muda mwingi. Lakini pia usafi ni kila wakati, yaani manyunyu kidogo tu au Umande michirizi mitupu. Pia wakati linaoshwa na hapo hapo vumbi!
 
Nimezungumzia kwa uzoefu wangu sijadanganya mtu lakini bado nasimamia kusema Ac si nzuri ndugu yangu si kwa mtoto tu hata kwa mtu mzima! Kuhusu vioo nimesema unafungua kidogo

Mheshimiwa Akohi ungetumia kauli ya kupinga kiungwana inavutia sana ila kusema ....."acheni kudanganya watu"..dah..imekaza kidogo mkuu .....let us share ideas .... by the way sasa tuiongelee AC kwa upande wa afya na nini kinaweza kutokea au kisitokee.
Mwili wa mwanadamu kwanza umeumbwa na "natural defence mechanism". .au hali ya asili ya kujilinda na hali hii inazidi kuimalika kadri umri unavyoongezeka ....sasa basi AC inapowashwa tarajio ni kuwa "surrounding temperature" itakuwa "low na temperature" inapokuwa 'low' ni mazingira mabaya kwa 'normal frol'a walio katika mfumo wa hewa na ni mazingira mazuri kwa 'viruses' kusababisha hatari katika mfumo wa hewa...sasa madhara haya yanaweza kuwa 'severe' kulingana na muda ulioji 'expose' kwenye 'environment' na pia 'intensity' ya 'coldness' pamoja na uwezo wa mwili kukabiliana nayo.

Pia mfumo wa hewa hufanya kazi kubwa ya ku'balance haemostasis' kwa vile hiyo hali iko 'mechanical controlled' unaweza 'regulated required temperature' ndani ya chombo chako.

Madhara makubwa endapo mwili utakuwa dhaifu kuhimili hali hii ni maradhi ya kuvimba kwa cells za mapafu "pneumonia" na si wote wanaweza kuathirika kwa kutumia AC vilevile si wote wanaweza kuwa salama muda wote wanapotumia AC.

Madhara ya Ac si makumbwa ukilinganisha na upepo unaopingana nao. Mfano kwa mwendesha pikipiki yeye yupo katika hatari kubwa ya kuharibu Mishipa ya moyo na kifua.
Tunaweza kuendelea kutoa michango yetu 'in a smooth manner'
 
Si sahihi kabisa kifua na mapafu ya mtoto mdogo hayajakuwa na uwezo wa kuhimili baridi ya AC! Cha kufanya kama unasafiri naye kwanza hakikisha umemvisha jacket zito la kuzuia upepo kisha fungua vioo kidogo kuruhusu hewa kuingia

Come oooooon Mshana, what are you talking about ?
 
Wadau na ili kupata gari nzur ya bei rahisi atleast kuanzia maisha naeza pata kwa bei gani na ni gari gani? sio used.
 
Wadau na ili kupata gari nzur ya bei rahisi atleast kuanzia maisha naeza pata kwa bei gani na ni gari gani? sio used.

Mmh sio used kwa maana ipi? Kuna used za Tanzania ambazo ni nzuri tu na kuna used nyingine safari moja mishemishe safari nyingine kwa fundi
Kuna used za kutoka nje kama Japan ni nzuri na kuna za Dubai ni Majanga!

Gari huko zinakouzwa ni bei poa sana mpaka usd 200 kutegemeana na aina ya gari shida ni usafiri na kodi zetu na uchakavu kutokana na sera ya sasa ya kuagiza magari chakavu
 
I may not be 100% right but I have a point based on personal experience...! Sitakataa kukosolewa lakini kitaalam kwakuwa hili jukwaa si kwa ajili ya kubishana bali kuelimishana na kushauriana

Tuko pamoja "mate", but for sure AC iko safe kabisa, ni kujua namna ya kuzi set vizuri zile knobs zake za adjustment, licha ya kupooza hewa AC pia inasafisha/inachuja hewa na vumbi chafu, kuondoa humid air ( unyevu joto ).
 
Tuko pamoja "mate", but for sure AC iko safe kabisa, ni kujua namna ya kuzi set vizuri zile knobs zake za adjustment, licha ya kupooza hewa AC pia inasafisha/inachuja hewa na vumbi chafu, kuondoa humid air ( unyevu joto ).

Thanks kaka
 
Mmh sio used kwa maana ipi? Kuna used za Tanzania ambazo ni nzuri tu na kuna used nyingine safari moja mishemishe safari nyingine kwa fundi
Kuna used za kutoka nje kama Japan ni nzuri na kuna za Dubai ni Majanga! Gari huko zinakouzwa ni bei poa sana mpaka usd 200 kutegemeana na aina ya gari shida ni usafiri na kodi zetu na uchakavu kutokana na sera ya sasa ya kuagiza magari chakavu
sawasawa mkuu
 
Jaman mm nataka kununua toyota grand.110 au verosa au toyota IMPSUM vp hapo kwa kulia bata uimara safar za kibiashara kutoka dom to dar ipi ipo bora ushaur wenu wanajukwaaa
 
Jaman mm nataka kununua toyota grand.110 au verosa au toyota IMPSUM vp hapo kwa kulia bata uimara safar za kibiashara kutoka dom to dar ipi ipo bora ushaur wenu wanajukwaaa

Achana na Ipsum kwa ushauri wangu
 
corola filder ina range bei gani sasa hivi yard na kwa mtu?
Nilikuwa nacheck kwenye website ya be forward japan.Bei ya FOB kwa corolla fielder ipo kati ya dollar 1500 hadi 2500.

Kwa CIF inakuwa kati ya Dollar 2500 hadi 4000 inategemea na specification za gari husika ukiweka na gharama za TRA itakugharimu kwa jumla kuu kati ya Dollar 5000 hadi Dollar 6000...ila ni makadirio kwa walio na updates za uhakika watapita kutusaidia.

kifupi fixed price siwezi kukupa isipokuwa unatapata margin lines za bei kama mwongozo maana kila gari ina specification zake na gharama zake.
 
Back
Top Bottom