Muhindila
Member
- Jul 12, 2015
- 46
- 30
Nataka kufahamu kuhusu Toyota volts uimara wake, ulaji wa mafuta na spare. Vipi niandae budget ya shilingi ngapi
Nataka kufahamu kuhusu Toyota volts uimara wake, ulaji wa mafuta na spare. Vipi niandae budget ya shilingi ngapi
Tumieni app kama DrivvoKwa diploma ya hapa hapa jukwaani ni vzr unaponunua gari kwa mtu akakupa service history yake ili kukusaidia kumaintain gari hilo. Ni vzr ikawa kwenye maandishi.
Pia wenye magari, ni vzr kuandika service history ili tunapoamua kuyauza tusiwape tabu kama hii wateja tarajali
Asante sana kakaHazina tofauti sana na gari nyingine za kisasa, vipuri vipo japo sio vingi bajeti around 10m
Nitafanyaje nipate kwa bei nzuriBei za show room hazina uhalisia
Kumekuwa na mada nyingi kuhusu mambo yote yahusuyo magari, nikaona basi na sisi tuwe na Uzi huu ambapo habari zote zihusuzo magari kuanzia kuchagua, kuagiza, kuuza, kubadili nyaraka, matengenezo utunzaji na kadhalika.
Watu wengi wametapeliwa kwenye mauzo na manunuzi, kwenye nyaraka, kwenye vipuri kwenye matengenezo na hata matumizi.
Kwa Uzi huu basi kila mwenye ujuzi, uzoefu, ushauri au mwenye maswali na tatizo lolote linalohusiana na magari hapa ndio pawe uwanja wake
Karibuni sana
Ushauri: Jinsi ya kununua gari iliotumika ndani ya Tanzania
Tahadhari kali kwa nyote mlio na magari binafsi; chunga sana na waambie wengine!
USHAURI: Ununuaji wa magari...
View attachment 225786
Jaguar kama gari nyingine za Ulaya tu, spare upatikanaji ni mgumu kwa bongo labda uwe unaagiza kila mara. Yaani hapo kuanzia shock absorber na vitu vingine itabidi uwe unaagiza. Au kama utapata kwa maduka ya ndani basi bei zake si kitoto. Bei za spare za Jaguar kutokana na uchache wake zitakuwa juu tofauti na VW au AUDI. Upande mwingine ni gari imara ila very sensitive kama zilivyo product nyingine za Land Rover Company...
Hyo ni static electricity inasababishwa na msuguano kati ya nguo zako na seat za gari. Jinsi ya kuidescharge shuka huku umeshika frame ya mlango kwa daka kadhaa ili au shika sehem yeyote ya metal ya gar kabla ya kushuka...kuna video zipo you tube unaweza zichekiMadhara ni makubwa mno kuna umeme unaenda sehemu isiyo stahili gari inaweza kuugua moto muda wowote
Bei yake kiasi gani mkuu