RugambwaYT
JF-Expert Member
- Jan 11, 2014
- 1,383
- 1,852
Okay. Zile za BP nafikiri ni Dextron II. Kuna ATF ya Toyota TIV ni nzuri saana, japo ni expensive kidogo. Unajua mara nyingi tunakosea kupima ATF wakati gari limepoa. Ile inatakiwa kupimwa gari likiwa hot.asante kwa ushauri, iliwekwa BP 40 ATF badala ya DExtron A3 kwa sasa nilipata Dextron A1 angalau mlio unapotea kabisa yaani si sawa na awali maana ilikuwa hata mwingine aliye nje akidrive gari yake anasikia hio kelele. kwa sasa mlio umshuka zaidi, japo kuna miss nyingi licha ya kubadili spark na plug zake mpya origino za gari sahihi.
Sent from my XT1052 using JamiiForums mobile app
Nimefurahishwa sana na hii comment yako Mkuu.Sidhani kama kuna gari linakuja na shida moja kwa moja, eti kisa tu labda ni toleo fulani au ni brand fulani.
Uimara na ubora wa gari ni matunzo yako mwenyewe tu. Kama upo rafu hata uwe na Land Rover 109 utakuja tu kusema zina shida fulani.
Cha msingi fuata masharti yaloainishwa na gari husika.
Sio gari unapeleka kwa mafundi uchwara na kila kona lina fundi.
Au Oil inatumika hadi inatoka kama maji ya jaruba za mpunga! Au waweka oil uchwara. Kwa mfano: kwanini watu wanasema Nissan xtrail ni mbovu? Oil (Magumashi)+ATF (Magumshi)+Mafundi feki= lazima useme gari bovu.
Kimsingi VW ni gari zuri kama nawe utakuwa na nidhamu nalo kwa kufuata miongozo yake na kukiuka miiko.
ipimwe ikiwa hot, kumbe. Mi ni Honda crv. ok nitachunguza zaidi, asanteOkay. Zile za BP nafikiri ni Dextron II. Kuna ATF ya Toyota TIV ni nzuri saana, japo ni expensive kidogo. Unajua mara nyingi tunakosea kupima ATF wakati gari limepoa. Ile inatakiwa kupimwa gari likiwa hot.
Kai pimp.wenyewe vijana wanasema hivyoHaya ni matumizi mabaya ya decorations
-gari unaiongezea kilo bila sababu
-shape asilia inapotea
-ufujaji wa pesa
-etcView attachment 541693
Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
decoration ya hivi bora ing3kiwa kwenye collora 100 kuliko kwenye gari kama hiyo.Haya ni matumizi mabaya ya decorations
-gari unaiongezea kilo bila sababu
-shape asilia inapotea
-ufujaji wa pesa
-etcView attachment 541693
Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
Zipo ila gari ya million 5 utainunua kwa million kumi na zaidiNaomba kuuliza kuna yard yoyote inayoruhusu ulipie gari kidogo kidogo kwa kuweka dhamana zaidi ya thaman ya gari huk ukiendelea kutumia gari...
Kwa makubaliano ya kimkataba
Post sent using JamiiForums mobile app
Eneo la ajali ni pf9 na mchoroJamani kuna swali nimekutana nalo nimechemka naomba anayejua eti kuna form ngapi police anazijaza eneo la ajali na kazi ya kila form
Post sent using JamiiForums mobile app
Asante mkuu...Zipo ila gari ya million 5 utainunua kwa million kumi na zaidi
Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
Bearing imekwisha.. Kanunue bearing kabla ujapata majanga barabarani.wakuu naombeni msaada Gari yangu Subaru forestar Jana imeanza kutoa mvumo flani hiv kufuatilia nkagundua ni kwenye tairi nkapiga jeki nakawa nalichezesha tairi likawa linacheza cheza, tatizo litakuwa ni nini?
Africarriers Karibu na vingunguti nyingine sizifahamuAsante mkuu...
Unaweza ukanielekeza nikajaribu kufuatilia nione kama nitaweza
Sent from my GT-N7000 using JamiiForums mobile app
Mmh hapana tyre kucheza haisababishwi na brake pads, inawezekana tatizo ni kubwa zaidi hasa kulegea kwa nutsBearing imekwisha.. Kanunue bearing kabla ujapata majanga barabarani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwan nimesema brake pads? Mie nimesema bearing itakua imekufa kutoka na namna alivo elezea tatizo lake.. Akanunue bearing ambazo zinauzwa 40, 000 pia a- avoid kupita kwenye majimaji.Mmh hapana tyre kucheza haisababishwi na brake pads, inawezekana tatizo ni kubwa zaidi hasa kulegea kwa nuts
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante nimekuelewa, nimegundua sikusoma vema reply yakoMkuu kwan nimesema brake pads? Mie nimesema bearing itakua imekufa kutoka na namna alivo elezea tatizo lake.. Akanunue bearing ambazo zinauzwa 40, 000 pia a- avoid kupita kwenye majimaji.
Sent from my HUAWEI Y330-U11 using JamiiForums mobile app
Gud asante sana mkuu