nickvalerion2810
Senior Member
- Mar 31, 2015
- 112
- 36
Nimesikia Rav 4 ya 1998 na rav 4 new model....ni bora zile za 1998... Je kuna ukweli ndani yake....naomba maelezo tafadhari
Kamwe huwezi kulinganisha engine ya Suzuki Maruti na ya Nissan Patrol au Toyota hilux...nisingumzie kwenye cc bali ni kwamba Maruti engine yake ni ndogo sana kisha inafuatia hilux kishapo NissanMshana,hivi Suzuki Maruti ina CC ngapi,na Nisaan Patrol ,na Toyota Hilux zina CC ngapi mwenye uelewa anijuze tafadhari sana
Namaanisha in terms of durability na pia engine....nasikia VVTI ni bora kuliko D4 ila sina uhakika kuhusu hiloHapa sina ustadi kwenye hili
Inategemea na cc
hakuna ukweli hapo mkuu new model ni nzuri zaidi kuliko hiyo ya mwaka 1998 new model ina udambwi dambwi mwingi zaidi ya kisasa zaidi ina mambo mengi zaidi kuliko hiyo old model new model ina ABS,VSC,TRC,AIR BAG, n.kNimesikia Rav 4 ya 1998 na rav 4 new model....ni bora zile za 1998... Je kuna ukweli ndani yake....naomba maelezo tafadhari
CHAZA hizi gari zote sina uzoefu nazo ndio maana hata mimi nilikaa kimya kusubiri wajuzi wengineMkuu Mshana jr, niliuliza kuhusu Mitsubishi Airtrek lakini hakuna aliyenip ABC zake. Vipi wewe mkuu huna wasifu wa hii gari?
Lakini pia nmevutiwa na gari aina ya Ford xcape hasa ile ya cc1980 na ile ya 2260(cc2300),sasa je ipi ni nzuri kati ya hizo, ipi ni 4cylinder na ipi ni V6?
Nitashukuru mkuu
Gari ni Toyota platz, taa inayowaka huwa n blueni.gari aina gani mkuu na.je huwa inawaka taa gani?? maana kuna taa 2 za tempereture blue /green hii kawaida na red hii ndio mbaya inamaanisha gari inachemsha au overheating je ww huwa inawaka ipi kati ya hizo.
ya blue haina shida mkuu ingekuwa nyekundu hapo sawa.Gari ni Toyota platz, taa inayowaka huwa n blue
OK asante bosiya blue haina shida mkuu ingekuwa nyekundu hapo sawa.
Pia inashauriwa hata kama oil hiyo ni km say 3000 usisubiri hadi zifike exactly..ukisubiri iwe chafu sana unaua engine..mi nilikua natumia bp standard kwa nissan ila nikifika 2500 naitoa.ila kwa sasa nimehamia kwenye fully synthetic ya km 20,000 ndo service.service inafanywa kutegemea na aina ya oil uliyoweka. Kuna oil kama za bp premium zinaenda mpaka km 5000 bila kuchoka ila kama watumia oil za kawaida elf 3 ndo mwisho wake hebu taja oil unayotumia
mi hiyo namwaga 3000..nissan.hiyo ni standard mkuu tembelea km elf tatu tu ila ukiipata bp premium hiyo ndo elf tano