Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Wakuu naombeni ushauri,kwa kuzingatia uimara,upatikanaji wa spare na ulaji wa mafuta,kati ya toyota altezza na mazda attenza sport nijitwalie ipi?
 
Habari? Ndugu zangu naomba ushauri nimeipenda gari aina ya subaru legacy (picha ntaiweka hapo chini) naomba ushauri wenu juu ya masuala mbalimbali ya kiufundi, gharama, spea na ziada yoyote kwa mjuzi au aliewahi kuitumia. Asanteni
 

Attachments

  • 1438890957940.jpg
    1438890957940.jpg
    82 KB · Views: 283
Wakuu naombeni ushauri,kwa kuzingatia uimara,upatikanaji wa spare na ulaji wa mafuta,kati ya toyota altezza na mazda attenza sport nijitwalie ipi?

JIBU: 1. Uimara= zote ni imara sana ukizingatia ni sport sedans,sport cars huwa na added advantage ya uimara,so hilo ondoa hofu.

2. Upatikanaji wa Spare parts= Hilo pia usihofu Spea za Mazda zipo Keko garage na Nduvini huziagiza Nairobi au Japan lakini pia spare siku hizi za mkono wa pili zipo tele gulioni Kariakoo ukikosa unaagiza Kenya au kwa car dealers kv be forward wanaleta spare yoyote utakayo unawapa sample tu.

3.Ulaji wa wese= zote mbili zinameza ila mazda ina nafuu alteza power train yake ipo juu.

KILA LA KHERI...KWANGU YOTE BOMBA
 
JIBU: 1. Uimara= zote ni imara sana ukizingatia ni sport sedans,sport cars huwa na added advantage ya uimara,so hilo ondoa hofu.

2. Upatikanaji wa Spare parts= Hilo pia usihofu Spea za Mazda zipo Keko garage na Nduvini huziagiza Nairobi au Japan lakini pia spare siku hizi za mkono wa pili zipo tele gulioni Kariakoo ukikosa unaagiza Kenya au kwa car dealers kv be forward wanaleta spare yoyote utakayo unawapa sample tu.

3.Ulaji wa wese= zote mbili zinameza ila mazda ina nafuu alteza power train yake ipo juu.

KILA LA KHERI...KWANGU YOTE BOMBA
But naona altezza nyingi ni 2000cc na mazda attenza ni 2260cc,so nikadhani mazda attenza inabugia zaidi wese.
 
Habari? Ndugu zangu naomba ushauri nimeipenda gari aina ya subaru legacy (picha ntaiweka hapo chini) naomba ushauri wenu juu ya masuala mbalimbali ya kiufundi, gharama, spea na ziada yoyote kwa mjuzi au aliewahi kuitumia. Asanteni

Gari nzuri usiwaze sana kuhusu parts dunia imekuwa kijiji
 
Gari nzuri usiwaze sana kuhusu parts dunia imekuwa kijiji

Asante na nashuruku kwa ushauri wako. Naomba ushauri wa kiufundi mwingine katika gari yangu aina ya toyota altezza sport. Gari kiujumla ni nzuri sana kuanzia ulaji mafuta, utulivu barabarani, mwendo n.k ila tatizo lipo kwenye sauti tu. Inatoa sauti kubwa (vijana wa mjini wanaita chipolopolo) sasa mimi binafsi siipendi itoe mlio huu kwani mwanzo nilijaribu kufanya hadi modification ya kutoa original exhaust pipe ba kuweka ya kawaida lakini sioni mabadiliko yoyote. Sasa je utakuwa unafahamu namna ya kuinyamazisha hii kitu. Thanks
 
Asante na nashuruku kwa ushauri wako. Naomba ushauri wa kiufundi mwingine katika gari yangu aina ya toyota altezza sport. Gari kiujumla ni nzuri sana kuanzia ulaji mafuta, utulivu barabarani, mwendo n.k ila tatizo lipo kwenye sauti tu. Inatoa sauti kubwa (vijana wa mjini wanaita chipolopolo) sasa mimi binafsi siipendi itoe mlio huu kwani mwanzo nilijaribu kufanya hadi modification ya kutoa original exhaust pipe ba kuweka ya kawaida lakini sioni mabadiliko yoyote. Sasa je utakuwa unafahamu namna ya kuinyamazisha hii kitu. Thanks

Inawezekana lakini ni complicated kidogo na kwakweli hatuna mafundi wazuri kivile na hubadili exhaust pekeyake bali mpaka muffler
 
Gari nzuri usiwaze sana kuhusu parts dunia imekuwa kijiji

Asante na nashuruku kwa ushauri wako. Naomba ushauri wa kiufundi mwingine katika gari yangu aina ya toyota altezza sport. Gari kiujumla ni nzuri sana kuanzia ulaji mafuta, utulivu barabarani, mwendo n.k ila tatizo lipo kwenye sauti tu. Inatoa sauti kubwa (vijana wa mjini wanaita chipolopolo) sasa mimi binafsi siipendi itoe mlio huu kwani mwanzo nilijaribu kufanya hadi modification ya kutoa original exhaust pipe ba kuweka ya kawaida lakini sioni mabadiliko yoyote. Sasa je utakuwa unafahamu namna ya kuinyamazisha hii kitu. Thanks
 
Inawezekana lakini ni complicated kidogo na kwakweli hatuna mafundi wazuri kivile na hubadili exhaust pekeyake bali mpaka muffler

Yaaah awamu ya kwanza walifanya hivyo kama ulivyosema, later wakasema sijui unaweka mashilingi lkn hakuna changes za maana ninaziona. Sasa sijui ni mafundi sio competent enough au laah ingawaje nimekuwa na hawa mafundi nina muda nao mrefu sana katika magari yangu mbalimbali
 
Yaaah awamu ya kwanza walifanya hivyo kama ulivyosema, later wakasema sijui unaweka mashilingi lkn hakuna changes za maana ninaziona. Sasa sijui ni mafundi sio competent enough au laah ingawaje nimekuwa na hawa mafundi nina muda nao mrefu sana katika magari yangu mbalimbali

Unajua hizo ni sports cars na mafundi wetu wengi wana ufundi wa mazoea kwa mfano ishu ya exhaust na huo mngurumo inaanzia kwenye systems za aircleaner na air compression toka kwenye engine
 
Unajua hizo ni sports cars na mafundi wetu wengi wana ufundi wa mazoea kwa mfano ishu ya exhaust na huo mngurumo inaanzia kwenye systems za aircleaner na air compression toka kwenye engine

Poa nimekuelewa. Duuuh basi ngoja nivumilie tu maana nisije leta tatizo katika gari ilhali ilikuwa nzima.

Turudi katika ile subaru legacy, maana ulinipa general advice basing on spare parts, je specifically katika masuala haya ipo vipi?
1. Ulaji wa mafuta (niliuliza cc zake nimeambiwa 1990 kama hii altezza niliyonayo)
2. Uimara na kutulia barabarani
3. Service charges zake
4. Kuna any special and unique condition kwa ajili ya hizi gari tu
 
But naona altezza nyingi ni 2000cc na mazda attenza ni 2260cc,so nikadhani mazda attenza inabugia zaidi wese.

Inategemea unachukua toleo lipi attenza toleo la kwanza na la pili zina nafuu sabu zipo kuanzia 1.8L hadi 3.0 pia toleo la pili zipo kuanzia 1.8 isipokuwa attenza toleo jipya ndo hawana 1.8Lz wanaanzia 2.0L. So itategemea unachukua toleo lipi!
 
nimenunua body used kwaajili ya gari yangu imepata ajali nahitaji kujua jinsi ya kubadilisha maelezo ya kwenye kadi yangu yaendane na hili body jingine toyota kikorola flani old model.
 
Wakuu, poleni na Majukumu.<br>Nna kamkweche kangu ka CRV Honda, muda mwingi kalikuwa kamepaki baada ya kuwa kamepta ajali ya maana about a year go. Sasa nimepata visenti kidogo, Fundi kanishauri badala ya kwenda kunyoosha "Body", ni bora nikatafuta&nbsp;"Body" jingine ili kupunguza Gharama. According to yeye mwenyewe Fundi, Gharama zitakuwa ndogo kidogo kuliko kulinyoosha. Sasa kwavile Fundi hilo &nbsp;ni eneo lake, ckutaka kubisha na nikaona ni ushauri mzuri tu, maana lengo langu hasa ni kurudi Barabarani at low costs. Ameniambia naweza kwenda maeneo ya Garage za Tandale na Tandika ntapata&nbsp;"Body" &nbsp;zuri tu. Sasa kabla cjaenda huko, naomba Mwongozo wenu wana JF kma kuna mtu analo, au anafahamu kuna mtu analo, au huko Tandale/Tandika sehemu gani naweza kupata hilo body, na pia Bei zake zikoje. Na pia hili langu kwavile tutavua vitu humu na kuvisha kwenye "New&nbsp;Body", basi pia kama ntapata sehemu wanayonunua Screpa ili walikate tuongee Biashara walau kufidia vigharama ntakavyoingia.<br>Natanguliza Shukrani ndugu zangu wa JF.
 
nimenunua body used kwaajili ya gari yangu imepata ajali nahitaji kujua jinsi ya kubadilisha maelezo ya kwenye kadi yangu yaendane na hili body jingine toyota kikorola flani old model.

Nenda polisi wakague gari wakupe barua uende TRA haina mlolongo mrefu uwe tu na documents zote za magari yote mawili na mikataba ya mauziano
 
Poa nimekuelewa. Duuuh basi ngoja nivumilie tu maana nisije leta tatizo katika gari ilhali ilikuwa nzima.

Turudi katika ile subaru legacy, maana ulinipa general advice basing on spare parts, je specifically katika masuala haya ipo vipi?
1. Ulaji wa mafuta (niliuliza cc zake nimeambiwa 1990 kama hii altezza niliyonayo)
2. Uimara na kutulia barabarani
3. Service charges zake
4. Kuna any special and unique condition kwa ajili ya hizi gari tu

Naomba nimwalike N'yadikwa katika hili
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom