Ndalama
JF-Expert Member
- Nov 22, 2011
- 8,787
- 6,533
Mimba ya Lincoln, Nina ataumbukaLincoln hisia zake ni za kweli sema kachelewa sana kujua. Definitely mimba ni ya Calvin.
Mimba ya Lincoln, Nina ataumbukaLincoln hisia zake ni za kweli sema kachelewa sana kujua. Definitely mimba ni ya Calvin.
Share tuNatamani kushare majikuta niko mbele mno
Lincoln hisia zake ni za kweli sema kachelewa sana kujua. Definitely mimba ni ya Calvin.
Natamani kushare majikuta niko mbele mno
Ahhh! Atatuondolea utamu bhana.Uko mbele unaangalia kupitia chanel gani? Nina tv? Mimba ni ya nani?
Sabc3Uko mbele unaangalia kupitia chanel gani? Nina tv? Mimba ni ya nani?
Katlego alikuwa nke wa jef ambaye alikuwa mdogo wake lincolin. Lakini kumbe before katlego kukutana na jef kipindi katlego akiwa chuo ambako lincoln alikuwa mkufinzi wake waliwahi kuwa wapenzi na katlego akabeba mimba ya lincoln ambapo lincoln alimlazimisha aitoe jambo lililosababisha jef alipomuoa katlego kuwa ngumu kupata mtoto.Jamani nielewesheni sielewi hizi siri za kina sibeko nikiwe na nina plz tell me...
Don't utatuondolea utamu wote.....Natamani kushare majikuta niko mbele mno
Utamu washaondoa mbona sijui nani anasema Katlego atakufa.Don't utatuondolea utamu wote.....
Mie hata kama naangalia movie sipendi mtu aanze kunihadithia sijui kitatokea hiki na kile No...
wanaondoa utamu for sure.....Utamu washaondoa mbona sijui nani anasema Katlego atakufa.
Calvin is back... I missed him
Calvin ana body zuri hatari...he's sexy for real
Katlego alikuwa nke wa jef ambaye alikuwa mdogo wake lincolin. Lakini kumbe before katlego kukutana na jef kipindi katlego akiwa chuo ambako lincoln alikuwa mkufinzi wake waliwahi kuwa wapenzi na katlego akabeba mimba ya lincoln ambapo lincoln alimlazimisha aitoe jambo lililosababisha jef alipomuoa katlego kuwa ngumu kupata mtoto.
Hii siri waliificha katlego na lincoln na kwa mda mrefu hakuna aliyeijua lakini baadae ilikuja kujulikana.
Jef alipofariki kwa ajali ya ndege aliacha maagizo kwamba katlego asipewe mali zake zikiwemo shares za mgodi wa sebeko mpaka amalize mwaka pasipo kuwa na mwanaume.
Na kipindi hicho katlego alikuwa anatoka na calvin xavier ambaye alianza toka naye before hata jef kufariki.
So lincolin kwa kutaka kumkomoa katlego asipate kitu akaanza kumfuatilia ili apate ushahidi wa kumnyima mali.
Baadae walifkia makubariano waoane ndoa ya kimkataba zaid ili kulinda mali ya familia na kila mtu atakuwa huru kutoka na yoyote isipokuwa katlego haruhusiwi kutoka calvin.
So now katlego ana mimba ambayo lincolin kwa maneno ya nina zamdela anawaza inaweza kuwa ya calvin lakini ukweli ni kwamba calvin na katlego baada ya ndoa tu ya kimkataba na lincolin hawakuwahi kushiriki mapenzi.
Pia inaweza ikawa ya Calvin Xavier but anajipa Confo ili Lincoln aone Kama kakosea sana kumu-accuse juu ya "miracle baby"! Still hata wakienda for paternity test Katlego isn't dumb asubiri kuaibika anyhow!Katlego anajiamini mimba ni ya Lincolin... Seriously sipendi anavyomdaught mwenzake