Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,238
- 22,673
Hahaha Leo kaghotalo kaliwa papuchee na ntandoDah Sechaba alijua kupenda maskini!! Mpaka natamani aje kwangu
Hahaha Leo kaghotalo kaliwa papuchee na ntandoDah Sechaba alijua kupenda maskini!! Mpaka natamani aje kwangu
Nije mimi kwa niaba yake ?Dah Sechaba alijua kupenda maskini!! Mpaka natamani aje kwangu
ITV wapuuzi. Wali skip hiyo segmentHahaha Leo kaghotalo kaliwa papuchee na ntando
Wanakera mkuu vipande vyetu vile huwa wanakata..hawa hivyo wakubwa tushaelewaITV wapuuzi. Wali skip hiyo segment
Mwaga uhondo wote basi. Mbona unatuonjesha utamu kwa mbaliiiiiHuyu Kgothalo mbona kama anamzimia Ntando au ndio aibu?? Na Zandre nae awe macho mke wa mtu sumu!
Haya njoo usomeMwaga uhondo wote basi. Mbona unatuonjesha utamu kwa mbaliiiii
Salute sana kwa kazi nzuri sanaHaya njoo usome
Mwenye nyongeza ataongezea
haiwezi kuisha na tutaendelea kuangaliaInaisha lini series yenu
Hii ya Nina na Lincoln sijui itawafikisha wapi,lakini itakuwa bab kubwa. Pia soo ya Zandre na Seline nayo inaongeza hamu ya kusubiri episode inayofuata. Inashangaza mke wa mtu ana wivu kiasi kile. Duuuh! Tuliooa tuna kazi.Write your reply...
mbona huyu kaghotalo anamfanyia ntando staki nataka?
nina vs lincoln beef jipya!
zandre naye seline kamganda na mumewe anajua
haha alafu kumbe mumewe clive anajua mkewe analiwa na zandre!Hii ya Nina na Lincoln sijui itawafikisha wapi,lakini itakuwa bab kubwa. Pia soo ya Zandre na Seline nayo inaongeza hamu ya kusubiri episode inayofuata. Inashangaza mke wa mtu ana wivu kiasi kile. Duuuh! Tuliooa tuna kazi.
Sibiya nae kalianzisha,naona yeye na makgorometsa ndio viherehere. Naona wakifukuzwa kazi kwa kiherehere chao. Zandre kifua kitamponza,huyu Clive anaonekana sio mtu mzuri.haha alafu kumbe mumewe clive anajua mkewe analiwa na zandre!
na kina sibiya nao wameanza yao kule chini,
Yaani kila siku ni mambo mapya, naipenda mno ,Inaisha lini series yenu