Tyson anahitaji ufafanuzi kwann rajesh yupo humo chumbani,mkewe anasema ni masuala ya kibiashara ila tyson anasema mbona barker hafahamu,rajesh anajibu sio kila akifanyacho lazima barker afahamu. Tyson haelew somo kiasi cha rajesh kutaka kutoboa siri ila kgotha anawahi na kusema ni masuala ya nzigha na HI. Rajesh anaondoka,kgotha anataka kutoa maelezo zaidi ila tyson anampuuzia
Brad anamshauri jody achague kila anachoona sahihi kwake maana barker ana mipango nae pia
Jody analalamika kwa kamo jinsi brad na barker wanavyompangia cha kufanya,kamo anamwambia bora yeye ni tajiri kaandaliwa kila kitu na kumtaka afate anayoambiwa na wakubwa. Jody anabisha.kamo anamweleza jinsi alivyo na mimba bila mipango ya mbeleni,jodh anamwambia mwenye mimba yupo atalea,kamo anakataa obakeng kushirikishwa hapo ila jody anamwambia hawez beba(kamo) kila kitu pekee na kwamba asikate tamaa bali aangalie fursa zaidi
Skhu anamwambia aphiwe atamsindikiza kanisani ila aphiwe anasema calvin atampitia,mara calvin anatokea,aphiwe anasema anafata pochi yake,skhu anamuuliza calvin ukaribu wake na aphiwe,calvin anasema ni wa kawaida tu,skhu anamwonya akae mbali na mdogo wake hataki matatizo mengine.
Barker anamtaka jody akasomee business ila jody anataka engineering jambo lonalomkera barker. Jody anatoa mfano wa kamo ila barker anajugde kivyake mara anapigiwa simu kuambiwa jambo linalomkera na kuondoka ofisin
Rajesh yupo ofisin kwake mara barker anaingia na kumuuliza kwann anafanya mazungumzo ya kibiashara bila kumhusisha ,rajesh anamwambia sio kila akifanyacho lazima atoe repoti. Barker anamtisha kuwa akirudia tena atamfuta kazi,rajesh anatabasamu na kusema yeye sio muajiriwa wa kufukuzwa kirahisi maana pia ni shareholder hapo
Kanisani aphiwe na calvin baada ya zoez calvin anamwambia aphiwe kuhusu biaahara aliyoambiwa na obakeng ila kaikataa. Pia anampa ushauri aphiwe kuwa bora alivyoachana na obakeng
Barker na tyson wakiwa duncan baa,wanamuuliza skhu alipofikia kwenye ishu ya morogwa,skhu anawaambia morogwa kakataa,wakiwa wanamlaumu kwa kushindwa mapema mara morogwa anatokea na kutaka kuongea na skhu ila skhu anamtambulisha morogwa kwa barker na tyson na kumwambia hao watamsaidia,ila morogwa anamashaka nao kwa utajiri walionao kumsaidia yeye. Wakati skhu akiagana na tyson na barker mafa gabriel anatokea na kumuuliza skhu alikua anafanya nini na hao watu au ndio anasalit kampun,skhu anamwambia gabr afate kampen zake asijishughulishe na visivyomhusu. Gabr anamwambia skhu hata akiwa na hao watu nikiwe hawezi kumrudia
Aphiwe akiwa kanisanj zjkisa anamuuliza kuhusu maua aliyokua anagawa,aphiwe anasema ni zawadi toka kwa mtu aisiyemtarajia. Zukisa anasema ni vibaya kugawa zawadi maana ni ujjmbe wa kuomba msamaha ila aphiwe anamkumbusha zukisa usaliti wa sizwe,zukisa anasema situation yake ilikua tofauti na kumtaka aphiwe asamehe
Shebeen kijana anamletea fujo sechaba,skhh anajngia na kuuliza kulikon,sechaba anamwambia vijana wanataka kurud kazin na mgodi umefungwa, na kumwomba skhu akaonhee na linc wajue kinachoendekea.skhu anasema nj ngumu hajaonana na linc siku nyingi,sechaba anasema atajaribu kuonhea na linc,skhu anamwambia amwambie linc kuwa awe makin maana kuna wanaotaka kumdondosha haraka.sechaba anashangazwa na ujumbe huo
Nina yupo the dec kaagiza msosi,skhu anashangazwa na uwepo wa nina mahali hapo na kumuuliza kama yupo sawa,nina anajibu ndio.skhu anaondoka mara aphiwe anaingia,nina anamfata na kumwambia kammis na kwamba urafiki wao usife awe anamtembelea home,aphiwe anagoma maana anahisi nina anataka kumrudisha kwa obakeng,baada ya nina kujitetea aphiwe anamwambia atafikiria
Kamo anaenda the rec na kumkuta aphiwe kaunta,aphiwe anamkaushia kamo anaagiza keki,kisha anamwambia aphiwe kuhusu salun kupooza maana wao hawapo na kwamba haruhusiwi(kamo) kuingia salun.kisha anamwambia aphiwe alihitaj rafiki wa kumwambia hayo tu
Gabriel akiwa na mawe ya dhahabu anampigia mtu na kumwambia anataka kufanya biashara huru akiwa pekee bila kuajiriwa na mtu