Nana brain
JF-Expert Member
- Jan 3, 2017
- 488
- 367
Sidhani kama ntakipenda hicho chamaKaribu kwny chama
Sidhani kama ntakipenda hicho chamaKaribu kwny chama
Hata mimi sjaelewa.Naona Calvin karudi na kafikia kwa Angie,hii imekaaje?
Pale anapokaa Angie ni kwa kina Kevin nyumba ilikuwa ya baba yake..Naona Calvin karudi na kafikia kwa Angie,hii imekaaje?
Na yule mpenz wa angie kaenda wap,Pale anapokaa Angie ni kwa kina Kevin nyumba ilikuwa ya baba yake..
Jean Mark naona kasafiri!Na yule mpenz wa angie kaenda wap,
Lakini Angie pale kapangisha ile nyumba,naona mgogoro mwingine wa kimapenzi ukinukia hapo. Jean Mark akirudi hapatatosha.Pale anapokaa Angie ni kwa kina Kevin nyumba ilikuwa ya baba yake..
ndio maana vijana wanachukua maamuzi magumu kupitiliza kutokana na effects za mapenziLakini Angie pale kapangisha ile nyumba,naona mgogoro mwingine wa kimapenzi ukinukia hapo. Jean Mark akirudi hapatatosha.
J3 naiona mbali maana Lincolin lazima aumbuke!Shaft 8 imeshatajwa, Lincoln lazima nguo zibane
What happened leoJ3 naiona mbali maana Lincolin lazima aumbuke!
Thanx sanaGabriel kafukuzwa kutoka The Duncan,kahifadhiwa na Nina kwa makubaliano kuwa amwachie Nina ili biashara ya insurance. Wale waliokuwa wanamdai walipomshambulia Nina akamuokoa. Zukisa kamwambia wazi Sizwe kuwa HD ndo nyumbani kwake hivyo haondoki kurudi PE. Calvin pia kakubali kumsaidia Tyson kumtafuta Kat. Na tayari keshataja Shaft 8 ambako Kat alitupwa. Ni suala la muda tu mambo kuwa hadharani na Linc kuumbuka. Hata hivyo Zukisa kagoma kuondoka kwa shinikizo la boss wake. Ni hayo nakumbuka kwa uchache,mwingine anaweza kuongezea.
Welcome back sweerrLeo ndio nimeangalia marudio after a long time..Nimecheka sana katika sehem nyingi Doctor Jean-Marc kaenda wapi what happened..
Mkuu hebu weka picha zao wa zamani Na wa sasaMi waliniuzi kumtoa charlie yule wa zamani na kumleta huyu mpya
Alafu pastor tapeli sana uso mkavuuu ha ha ha mi huwa ananifuraisha akisha mess up anaanza kujizoa zoa kama dude wa bongo movieGabriel kafukuzwa kutoka The Duncan,kahifadhiwa na Nina kwa makubaliano kuwa amwachie Nina ili biashara ya insurance. Wale waliokuwa wanamdai walipomshambulia Nina akamuokoa. Zukisa kamwambia wazi Sizwe kuwa HD ndo nyumbani kwake hivyo haondoki kurudi PE. Calvin pia kakubali kumsaidia Tyson kumtafuta Kat. Na tayari keshataja Shaft 8 ambako Kat alitupwa. Ni suala la muda tu mambo kuwa hadharani na Linc kuumbuka. Hata hivyo Zukisa kagoma kuondoka kwa shinikizo la boss wake. Ni hayo nakumbuka kwa uchache,mwingine anaweza kuongezea.
Pastor alikula romance tu mzigo aliliwa Nina mpaka kukawa Na bifu kati ya Nina Na ZukisaUmesahau pia kuwa Zukisa alishaliwa na Pastor machana kweupeee. Pastor alishakula mzigo huo kitambo
Karibu jamviniHii tamthilia nina miaka zaidi ya8 sijaangalia.... Ngoja nianze kuifatilia tena kama inanoga
Ila Skhu alimpa French kiss ZukisaITV waliziba