Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Eee mwenzangu wakati nakua nilitamani sana kuja kuolewa tena na kabila hiloo nililoolewa nalo Mungu kanipa exactly nilichotaka sasa inabidi nivumilie panda shuka zoteee ili nivikwe taji siku ya mwisho








