Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,694
Kila la kheri wenye ndoa.
Mahisiano niliyopitia nyuma yalinifanya nikafunga mlango wa ndoa, ila mahusiano ya sasa na Dadii ni paradiso na tukigombana tunaambiana ukweli waziwazi usoni bila kuoneana aibu.
Kesho yake tunakumbatiana kama kawaida, Mahaba yetu matamu sitamani ndoa tena....
😂😂🙄 nakutamania kwakweli


kuna ndoa za aina mbili za kiroho na za makaratasi... Zote zinabaki kuwa ndoa
