Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Mambo ya surprise ya watoto haya na mvi zangu uniletee masurprise wapi na wapi
Mambo ya surprise ya watoto haya na mvi zangu uniletee masurprise wapi na wapi
Na ungeenda kweeli
Ile siku unaniambia hivi nani anakudanganya lakini shunie nani anakupa hayo mawazo kichwa kimewaka moto
Unataka kukimbia nae wapi eti
Basi akabebe watotoWewe si mama muinjili Jamani...
Kuna ambavyo vinafika mwisho ujue... Watoto anabeba
Mimi nimeamua kukaa kando!kiroho safi ..ingawa nna uchungu sana sana..najaribu kuhimili hii hali lakini nafeli vby sana sana...!silali!






Dah mm nawaonea huruma watoto tu yaani watoto na huyo mume mlevi sijui inakuwaje jamani
KabisaaaBasi akabebe watoto
Ndiwooo sasa hivi ningekuwa msumbiji mmNa ungeenda kweeli
Shukuru na mie ni mama ushauri!




na pete vidoleni ningeuza
Hapo sawakuna ndugu yangu yupk as dada wa kazi...nataka nimshawishi niwachukue akikataa nawaiba
Hahaa yani Sakayo umejua kunichekesha jamaniNimekosa la kuongea nimekuwa bubu ghafla ila watoto tu ndio wanaonitia huruma jamani
Wewe si mama muinjili Jamani...
Kuna ambavyo vinafika mwisho ujue... Watoto anabeba
Hahaha hahaha hahaha hahaha hahahaNdiwooo sasa hivi ningekuwa msumbiji mmna pete vidoleni ningeuza
Sasa jee pete za nn tena nimekuwa single ladyHahaha hahaha hahaha hahaha hahaha
mchukue rasmi shoga..haha mwarabu yule..anavyopenda slope ss
kuna askar alitusikiliza akasema dada huyu inaonekana ndo ukivyo.lea toka mmekutana..ww huon shida kumpa pesa yako bas naye akajisahau...huyu shoga ht mm simtaki
nikamwambia its true sikuwa mlilia shida..ss ww yachukue kwangu as somo..ukikutana na mchumba mara moja moja mlilie shida utaona anrespond vip
..mm sikuwah kbs mwambia naomba hela..sijui nipoje..
Kaona nimekosa la kuongea
Hahaha hahahaKaona nimekosa la kuongea