kianja kyamutwara
JF-Expert Member
- Nov 4, 2020
- 200
- 207
Nimeona gazeti moja AFP limeandika habari hii nimesikitika sana kweli kaongeza maswali badala ya kuyamaliza
Muhimbili National HospitalAnafanya kazi wapi?
Kuna hao jamaa wawili wapo pembeni ya mheshimiwa wapo na pua zao wazi hawana hata habari...Vaa barakoa.
Nawa mara kwa mara.
Epuka misongamano..