Macho ya Wanaume

Ujue tunatamanigi kuwaangalia sema nyie mnakua mko fasta sana kwenye kutembea, alafu mnakutaga mko na wanaowamiliki, kiukweli nundu nyingi unakutaga ziko zenyewe alafu ziko slow sana.

Hahaaa. Hivyo tupunguze haraka ili muwe mnatutizama na sie. Ila hamjui mkuu hizo unazosema ziko slow zinakuwa slow ili kuwahadaa tu.
 
Mimi mama Wegesa hanikamati ki-zembe hivyo aisee! Macho yangu huwa nageuza ki-shushushu ile mbaya. Ukinishtukia nakupa zawadi. That's how the big baba does!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…