Sema mwili wa dikteta mwendazakegari iliyobeba mwili wa
We jamaa sidhani Kama kichwa CHAKO kina AKILI..naona akili zote zimefukiwa kaburin chatoMbowe alipoangushwa na konyagi nyumbani kwa Joyce Mkuya alikanusha?
Mkuu Kuna usemi usemao 'Ukiona mtu anammis marehemu ujue yupo njia moja kumfata' ila ikitokea ukamfata ( sikuombei) mwambie mabadliko chanya uyaonayo,Hili ni Eneo la Shule ya Sekondari Mabati Mjini Njombe ambako Meza za Wafanyabiashara wadogo (#Machinga) zimetupwa na Mgambo wa Halmashauri ya Mji huku wafanyabiashara hao wakitakiwa kuondoka pembezoni mwa Barabara na wahamie katika Soko la Dodoma.
Maskini baba aliwambia kufanya biashara popote pale jamani.
Haya mengine ni ya kutazama vyema jamani Mgambo tena wanarudi? jamani Rafiki wawamachinga Dah!!!! Leo Jpm angekuwepo Huki sijui mkuu wa MKOA mkuu wa wilaya MKURUGENZI wa halmashauri ANGEKUWA na hali gani aisee.
Kama uliona watu wanalia wanatandika nguo zao ili tu gari iliyobeba mwili wa Magufuli ipite juu ya nguo zao. Kitendo kile kilikuwa na maana ya pekee. Hiki ndicho hasa kilichokuwa #kikiwaliza msibani watanzania walijua siku za mateso #zinakaribia na sasa mateso ndiyo hayo.
#PUMZIKA kwa amani Magufuli wetu dah. Nimeandika hii msg nimehisi kutokwa na MACHOZI. Unavunjiwa banda lako ambalo ulikuwa umeweka nguvu zako huko kwa ajili ya watoto na maisha yaendelee.
KWELI ULE USEMI PAKA AKITOKA PANYA HUTAWALA NIMEAMINI SASA..View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457
Umesema ni Eneo la Shule ya Sekondari. Kwenda kufanya biashara eneo la shule ni halali kweli?Hili ni Eneo la Shule ya Sekondari Mabati Mjini Njombe ambako Meza za Wafanyabiashara wadogo (#Machinga) zimetupwa na Mgambo wa Halmashauri ya Mji huku wafanyabiashara hao wakitakiwa kuondoka pembezoni mwa Barabara na wahamie katika Soko la Dodoma.
Maskini baba aliwambia kufanya biashara popote pale jamani.
Haya mengine ni ya kutazama vyema jamani Mgambo tena wanarudi? jamani Rafiki wawamachinga Dah!!!! Leo Jpm angekuwepo Huki sijui mkuu wa MKOA mkuu wa wilaya MKURUGENZI wa halmashauri ANGEKUWA na hali gani aisee.
Kama uliona watu wanalia wanatandika nguo zao ili tu gari iliyobeba mwili wa Magufuli ipite juu ya nguo zao. Kitendo kile kilikuwa na maana ya pekee. Hiki ndicho hasa kilichokuwa #kikiwaliza msibani watanzania walijua siku za mateso #zinakaribia na sasa mateso ndiyo hayo.
#PUMZIKA kwa amani Magufuli wetu dah. Nimeandika hii msg nimehisi kutokwa na MACHOZI. Unavunjiwa banda lako ambalo ulikuwa umeweka nguvu zako huko kwa ajili ya watoto na maisha yaendelee.
KWELI ULE USEMI PAKA AKITOKA PANYA HUTAWALA NIMEAMINI SASA..View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457
Mbona picha moja umejrudia mara mia,je nawewe chinga ,tuanzie hapo kwanza.Hili ni Eneo la Shule ya Sekondari Mabati Mjini Njombe ambako Meza za Wafanyabiashara wadogo (#Machinga) zimetupwa na Mgambo wa Halmashauri ya Mji huku wafanyabiashara hao wakitakiwa kuondoka pembezoni mwa Barabara na wahamie katika Soko la Dodoma.
Maskini baba aliwambia kufanya biashara popote pale jamani.
Haya mengine ni ya kutazama vyema jamani Mgambo tena wanarudi? jamani Rafiki wawamachinga Dah!!!! Leo Jpm angekuwepo Huki sijui mkuu wa MKOA mkuu wa wilaya MKURUGENZI wa halmashauri ANGEKUWA na hali gani aisee.
Kama uliona watu wanalia wanatandika nguo zao ili tu gari iliyobeba mwili wa Magufuli ipite juu ya nguo zao. Kitendo kile kilikuwa na maana ya pekee. Hiki ndicho hasa kilichokuwa #kikiwaliza msibani watanzania walijua siku za mateso #zinakaribia na sasa mateso ndiyo hayo.
#PUMZIKA kwa amani Magufuli wetu dah. Nimeandika hii msg nimehisi kutokwa na MACHOZI. Unavunjiwa banda lako ambalo ulikuwa umeweka nguvu zako huko kwa ajili ya watoto na maisha yaendelee.
KWELI ULE USEMI PAKA AKITOKA PANYA HUTAWALA NIMEAMINI SASA..View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457
Wachapwe na viboko kabisa hawa . Ni wasumbufu Mimi siwapendi machinga wanasababisha uchafuHili ni Eneo la Shule ya Sekondari Mabati Mjini Njombe ambako Meza za Wafanyabiashara wadogo (#Machinga) zimetupwa na Mgambo wa Halmashauri ya Mji huku wafanyabiashara hao wakitakiwa kuondoka pembezoni mwa Barabara na wahamie katika Soko la Dodoma.
Maskini baba aliwambia kufanya biashara popote pale jamani.
Haya mengine ni ya kutazama vyema jamani Mgambo tena wanarudi? jamani Rafiki wawamachinga Dah!!!! Leo Jpm angekuwepo Huki sijui mkuu wa MKOA mkuu wa wilaya MKURUGENZI wa halmashauri ANGEKUWA na hali gani aisee.
Kama uliona watu wanalia wanatandika nguo zao ili tu gari iliyobeba mwili wa Magufuli ipite juu ya nguo zao. Kitendo kile kilikuwa na maana ya pekee. Hiki ndicho hasa kilichokuwa #kikiwaliza msibani watanzania walijua siku za mateso #zinakaribia na sasa mateso ndiyo hayo.
#PUMZIKA kwa amani Magufuli wetu dah. Nimeandika hii msg nimehisi kutokwa na MACHOZI. Unavunjiwa banda lako ambalo ulikuwa umeweka nguvu zako huko kwa ajili ya watoto na maisha yaendelee.
KWELI ULE USEMI PAKA AKITOKA PANYA HUTAWALA NIMEAMINI SASA..View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457
Umeona 🤣🤣Mkuu na wewe unakuza Mambo pichaaa mojaa umepost mara kibao
Na bado akawaibia 20k zao... kwenye Kampeni akawaambia zile ID zitawasaidia kupata matibabu bureHamna lolote...nyie mlipumbazwa tu na Magu na kufanywa maboya...ili mumpigie kura.
Ulikuwepo bi mdogo???Mbowe alipoangushwa na konyagi nyumbani kwa Joyce Mkuya alikanusha?
Safi sana waendelee Kuvunja vibanda kazi nzuriHili ni Eneo la Shule ya Sekondari Mabati Mjini Njombe ambako Meza za Wafanyabiashara wadogo (#Machinga) zimetupwa na Mgambo wa Halmashauri ya Mji huku wafanyabiashara hao wakitakiwa kuondoka pembezoni mwa Barabara na wahamie katika Soko la Dodoma.
Maskini baba aliwambia kufanya biashara popote pale jamani.
Haya mengine ni ya kutazama vyema jamani Mgambo tena wanarudi? jamani Rafiki wawamachinga Dah!!!! Leo Jpm angekuwepo Huki sijui mkuu wa MKOA mkuu wa wilaya MKURUGENZI wa halmashauri ANGEKUWA na hali gani aisee.
Kama uliona watu wanalia wanatandika nguo zao ili tu gari iliyobeba mwili wa Magufuli ipite juu ya nguo zao. Kitendo kile kilikuwa na maana ya pekee. Hiki ndicho hasa kilichokuwa #kikiwaliza msibani watanzania walijua siku za mateso #zinakaribia na sasa mateso ndiyo hayo.
#PUMZIKA kwa amani Magufuli wetu dah. Nimeandika hii msg nimehisi kutokwa na MACHOZI. Unavunjiwa banda lako ambalo ulikuwa umeweka nguvu zako huko kwa ajili ya watoto na maisha yaendelee.
KWELI ULE USEMI PAKA AKITOKA PANYA HUTAWALA NIMEAMINI SASA..View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457
Machinga hawa wanatakiwa wawe sehemu sahihi kulingana na level yao , unakuta mtu analipa frem laki Saba , mbele yake kuna machinga analipa 50000 , af anachekelea na kujiita mpambanaji... ..Fukuza kabisa hao watu waende sehemu sahihi ya umachinga
Sasa utafanyaje biashara kwenye barabara? Sehemu ya wapita kwa miguu wewe umemwaga biashara.
Machinga kufanya biashara popote haikuwa solution ya muda mrefu bali ilikuwa opinion ya mtu mmoja na hakuna mtu anaishi milele ila systems zinaishi milele.
Nadhani department husika zitatafuta solution ya muda mrefu ili kutatua hiyo changamoto once and for all.
Suggestion yangu ni serikali itenge budget ya kujenga miondombinu bora kwenye maeneo maalum na hawa machinga wakafanye biashara zao huko.
Hiyo ndio best solution.