Machinga waanza kunyanyaswa rasmi hawatakiwi huu si wakati wa wanyonge

Hili ni Eneo la Shule ya Sekondari Mabati Mjini Njombe ambako Meza za Wafanyabiashara wadogo (#Machinga) zimetupwa na Mgambo wa Halmashauri ya Mji huku wafanyabiashara hao wakitakiwa kuondoka pembezoni mwa Barabara na wahamie katika Soko la Dodoma.
Maskini baba aliwambia kufanya biashara popote pale jamani.

Haya mengine ni ya kutazama vyema jamani Mgambo tena wanarudi? jamani Rafiki wawamachinga Dah!!!! Leo Jpm angekuwepo Huki sijui mkuu wa MKOA mkuu wa wilaya MKURUGENZI wa halmashauri ANGEKUWA na hali gani aisee.

Kama uliona watu wanalia wanatandika nguo zao ili tu gari iliyobeba mwili wa Magufuli ipite juu ya nguo zao. Kitendo kile kilikuwa na maana ya pekee. Hiki ndicho hasa kilichokuwa #kikiwaliza msibani watanzania walijua siku za mateso #zinakaribia na sasa mateso ndiyo hayo.

#PUMZIKA kwa amani Magufuli wetu dah. Nimeandika hii msg nimehisi kutokwa na MACHOZI. Unavunjiwa banda lako ambalo ulikuwa umeweka nguvu zako huko kwa ajili ya watoto na maisha yaendelee.

KWELI ULE USEMI PAKA AKITOKA PANYA HUTAWALA NIMEAMINI SASA..View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457
Mkuu Kuna usemi usemao 'Ukiona mtu anammis marehemu ujue yupo njia moja kumfata' ila ikitokea ukamfata ( sikuombei) mwambie mabadliko chanya uyaonayo,
Walioporwa haki zao wanarejeshewa, vijana wasio na ajira wana matumaini makubwa na Mama SSH, Wawekezaji wanaanza kurejea mmoja baada ya mwingine na waliotaka kuamsha wameahirisha, wabunge wanaodemka wanafundwa, na hayo yote ni ndan ya mwez mmoja, kwa hyo ukamwambie tuko salama kuliko nyakat zake.
Kwa hyo relux mkuu, pia tambua kuwa Mama mwenye taifa lake yupo na kasema usimlinganishe na Hayati!
 
Hili ni Eneo la Shule ya Sekondari Mabati Mjini Njombe ambako Meza za Wafanyabiashara wadogo (#Machinga) zimetupwa na Mgambo wa Halmashauri ya Mji huku wafanyabiashara hao wakitakiwa kuondoka pembezoni mwa Barabara na wahamie katika Soko la Dodoma.
Maskini baba aliwambia kufanya biashara popote pale jamani.

Haya mengine ni ya kutazama vyema jamani Mgambo tena wanarudi? jamani Rafiki wawamachinga Dah!!!! Leo Jpm angekuwepo Huki sijui mkuu wa MKOA mkuu wa wilaya MKURUGENZI wa halmashauri ANGEKUWA na hali gani aisee.

Kama uliona watu wanalia wanatandika nguo zao ili tu gari iliyobeba mwili wa Magufuli ipite juu ya nguo zao. Kitendo kile kilikuwa na maana ya pekee. Hiki ndicho hasa kilichokuwa #kikiwaliza msibani watanzania walijua siku za mateso #zinakaribia na sasa mateso ndiyo hayo.

#PUMZIKA kwa amani Magufuli wetu dah. Nimeandika hii msg nimehisi kutokwa na MACHOZI. Unavunjiwa banda lako ambalo ulikuwa umeweka nguvu zako huko kwa ajili ya watoto na maisha yaendelee.

KWELI ULE USEMI PAKA AKITOKA PANYA HUTAWALA NIMEAMINI SASA..View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457
Umesema ni Eneo la Shule ya Sekondari. Kwenda kufanya biashara eneo la shule ni halali kweli?
 
Hili ni Eneo la Shule ya Sekondari Mabati Mjini Njombe ambako Meza za Wafanyabiashara wadogo (#Machinga) zimetupwa na Mgambo wa Halmashauri ya Mji huku wafanyabiashara hao wakitakiwa kuondoka pembezoni mwa Barabara na wahamie katika Soko la Dodoma.
Maskini baba aliwambia kufanya biashara popote pale jamani.

Haya mengine ni ya kutazama vyema jamani Mgambo tena wanarudi? jamani Rafiki wawamachinga Dah!!!! Leo Jpm angekuwepo Huki sijui mkuu wa MKOA mkuu wa wilaya MKURUGENZI wa halmashauri ANGEKUWA na hali gani aisee.

Kama uliona watu wanalia wanatandika nguo zao ili tu gari iliyobeba mwili wa Magufuli ipite juu ya nguo zao. Kitendo kile kilikuwa na maana ya pekee. Hiki ndicho hasa kilichokuwa #kikiwaliza msibani watanzania walijua siku za mateso #zinakaribia na sasa mateso ndiyo hayo.

#PUMZIKA kwa amani Magufuli wetu dah. Nimeandika hii msg nimehisi kutokwa na MACHOZI. Unavunjiwa banda lako ambalo ulikuwa umeweka nguvu zako huko kwa ajili ya watoto na maisha yaendelee.

KWELI ULE USEMI PAKA AKITOKA PANYA HUTAWALA NIMEAMINI SASA..View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457
Mbona picha moja umejrudia mara mia,je nawewe chinga ,tuanzie hapo kwanza.
 
Hawa wapuuzi wasafishwe nchi nzima maana wanakera, kkoo hakupitiki kwa ajiri yao! Mbaya zaidi wanapanga bidhaa mbele ya maduka ya watu.
 
Hili ni Eneo la Shule ya Sekondari Mabati Mjini Njombe ambako Meza za Wafanyabiashara wadogo (#Machinga) zimetupwa na Mgambo wa Halmashauri ya Mji huku wafanyabiashara hao wakitakiwa kuondoka pembezoni mwa Barabara na wahamie katika Soko la Dodoma.
Maskini baba aliwambia kufanya biashara popote pale jamani.

Haya mengine ni ya kutazama vyema jamani Mgambo tena wanarudi? jamani Rafiki wawamachinga Dah!!!! Leo Jpm angekuwepo Huki sijui mkuu wa MKOA mkuu wa wilaya MKURUGENZI wa halmashauri ANGEKUWA na hali gani aisee.

Kama uliona watu wanalia wanatandika nguo zao ili tu gari iliyobeba mwili wa Magufuli ipite juu ya nguo zao. Kitendo kile kilikuwa na maana ya pekee. Hiki ndicho hasa kilichokuwa #kikiwaliza msibani watanzania walijua siku za mateso #zinakaribia na sasa mateso ndiyo hayo.

#PUMZIKA kwa amani Magufuli wetu dah. Nimeandika hii msg nimehisi kutokwa na MACHOZI. Unavunjiwa banda lako ambalo ulikuwa umeweka nguvu zako huko kwa ajili ya watoto na maisha yaendelee.

KWELI ULE USEMI PAKA AKITOKA PANYA HUTAWALA NIMEAMINI SASA..View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457
Wachapwe na viboko kabisa hawa . Ni wasumbufu Mimi siwapendi machinga wanasababisha uchafu
 
Mtu akijiita Rais wa wanyonge, maana yake atahakikisha mnaendelea kuwa wanyonge ili aendelee kuwatawala maana usipokuwa mnyonge, yeye hawi Rais wako tena.
 
Hili ni Eneo la Shule ya Sekondari Mabati Mjini Njombe ambako Meza za Wafanyabiashara wadogo (#Machinga) zimetupwa na Mgambo wa Halmashauri ya Mji huku wafanyabiashara hao wakitakiwa kuondoka pembezoni mwa Barabara na wahamie katika Soko la Dodoma.
Maskini baba aliwambia kufanya biashara popote pale jamani.

Haya mengine ni ya kutazama vyema jamani Mgambo tena wanarudi? jamani Rafiki wawamachinga Dah!!!! Leo Jpm angekuwepo Huki sijui mkuu wa MKOA mkuu wa wilaya MKURUGENZI wa halmashauri ANGEKUWA na hali gani aisee.

Kama uliona watu wanalia wanatandika nguo zao ili tu gari iliyobeba mwili wa Magufuli ipite juu ya nguo zao. Kitendo kile kilikuwa na maana ya pekee. Hiki ndicho hasa kilichokuwa #kikiwaliza msibani watanzania walijua siku za mateso #zinakaribia na sasa mateso ndiyo hayo.

#PUMZIKA kwa amani Magufuli wetu dah. Nimeandika hii msg nimehisi kutokwa na MACHOZI. Unavunjiwa banda lako ambalo ulikuwa umeweka nguvu zako huko kwa ajili ya watoto na maisha yaendelee.

KWELI ULE USEMI PAKA AKITOKA PANYA HUTAWALA NIMEAMINI SASA..View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457View attachment 1759457
Safi sana waendelee Kuvunja vibanda kazi nzuri
 
2025 Watampigia kura jiwe na mtetezi mwingine wa wanyonge.
Machinga hawa wanatakiwa wawe sehemu sahihi kulingana na level yao , unakuta mtu analipa frem laki Saba , mbele yake kuna machinga analipa 50000 , af anachekelea na kujiita mpambanaji... ..Fukuza kabisa hao watu waende sehemu sahihi ya umachinga
 
Solution ya muda mrefu ni kuifanya nchi iwe na uwekezaji mkubwa wa viwanda ili wamachinga, boda boda na mama ntilie wapungue.
Machinga kufanya biashara popote haikuwa solution ya muda mrefu bali ilikuwa opinion ya mtu mmoja na hakuna mtu anaishi milele ila systems zinaishi milele.

Nadhani department husika zitatafuta solution ya muda mrefu ili kutatua hiyo changamoto once and for all.

Suggestion yangu ni serikali itenge budget ya kujenga miondombinu bora kwenye maeneo maalum na hawa machinga wakafanye biashara zao huko.

Hiyo ndio best solution.
 
Back
Top Bottom