Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 10,394
- 17,990
Mwendazake aliwatumia Machinga kwa faida ya kujijenga kisiasa. Kwanza aliwaita wanyonge. Mnyonge naliona kama tusi kwa Watanzania. Tafsiri yake hii hapa:
1.mtu dhaifu; mtu asiyekuwa na nguvu Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni (ms) Synonyms: mnyela
2. mtu mwenye tabia ya upole na ya kunyenyekea
3. mtu wa hali ya chini Mnyonge kupata haki ni mwenye nguvu kupenda (methali)
Binafsi silipendi hili neno, tupaze sauti sauti wana siasa wasituite sisi wanyonge, watumie neno wananchi au Watanzania, waache kutusanifu.
Hao machinga, kuambiwa wafuate utaratibu wa mipango miji na Halmashauri siyo manyanyaso
1.mtu dhaifu; mtu asiyekuwa na nguvu Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni (ms) Synonyms: mnyela
2. mtu mwenye tabia ya upole na ya kunyenyekea
3. mtu wa hali ya chini Mnyonge kupata haki ni mwenye nguvu kupenda (methali)
Binafsi silipendi hili neno, tupaze sauti sauti wana siasa wasituite sisi wanyonge, watumie neno wananchi au Watanzania, waache kutusanifu.
Hao machinga, kuambiwa wafuate utaratibu wa mipango miji na Halmashauri siyo manyanyaso