Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,410
- 36,559
Basi akili yako itakuwa sehemu ile aliyoisema Dr Masaburi,maana unafananisha mbingu na ardhi.Lete details hapa za nini university inahitaji kuwa navyo acha kupiga keleleNilichaguliwa pale
I was multiple selected niliacha kwenda Nianakili Sana matokeo yangu ya A-level ninasoma chuo chochote duniani
Tumia akili yako na si ya naibu waziri