theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,750
- 15,641
Wanaume wa Shoka kutoka SUA tumetulia huku tunawacheka kwa dharau CHIIIIIIIIIII....Muhimbili tunawacheki na battle zenu
Wanaume wa Shoka kutoka SUA tumetulia huku tunawacheka kwa dharau CHIIIIIIIIIII....Muhimbili tunawacheki na battle zenu
Kuliko muhimbili na Ardhi?Kwa vigezo vyabgu DIT, MUST na ATC ndio vyuo bora TZ nenda viwandani utagundua watakuambia.
Faculty zote grades zipo sawa mkuuMkuu huyo asikudanganye SAUT bado wanatumia grade za seminary za
80-A, 70-B+, 60-B, 50-C kwa mwaka wa nne law na Engineering ila kuanzia mwaka wa kwanza mpaka wa tatu kwa faculty zote wanatumia mfumo wa kawaida wa serika, nina dogo yupo pale anasoma law. Hivyo kwa grade hizi lazima uwe nondo tu.
Yes zipo sawa ila mwaka nne law na engineering wao zipo tofauti wanatumie zile zamani ambazo nimezitaja kwnye thread iliyopita.Faculty zote grades zipo sawa mkuu
Kwa upande wa sheria SAUT nakubaliana na ww, lkn mengine olaaa!!!! KabisaSaut IPO vizuri hasa ufundishaji kicontent(wapo realism sana) kuanzia kutengeneza course works mpaka u.e pia grades zao zipo juu kuliko vyuo vya serikali, udsm ilikuwa zamani lakini sasa wapo ki-idealism sana watu wapikapika tu matokeo..no disco kivile
Mfano maridhawa chukua graduate wa saut na graduate wa udsm upande wa sheria( law department) then fanya assessment utapata jawabu yupi yupo deep na competent katika fani ama ndaki take.
Mass communication hakuna chuo Kama SAUT afrika mashariki na Kati nayo unakataa?Kwa upande wa sheria SAUT nakubaliana na ww, lkn mengine olaaa!!!! Kabisa
Mass communication hakuna chuo Kama SAUT afrika mashariki na Kati nayo unakataa?
Public relations and marketing hakuna chuo kinachofanya vyema Kama SAUT
Hakuna chuo kinachotoa waalimu Bora wa Sanaa Kama sauti
Unondo unapimwa kwenye grades boss?Nikueleze tu ata chuo kiwe bora kiasi gani kama mwanafunzi hatakuwa tayari kuonesha bidiii binafsi basi jua lazima ataonekana wa ovyo tuuu.Mfano mimi nilipitia katika mazingira ambayo hayakuwa rafiki huko OLevel lakini niliweka juhudi binafsi na hatimaye nikaingia ALevel na kusoma kidato kimoja na waliotoka mazingira bora lakini na bado nikatoka poa pia compared na hao waliotoka mazingira bora.Mkuu huyo asikudanganye SAUT bado wanatumia grade za seminary za
80-A, 70-B+, 60-B, 50-C kwa mwaka wa nne law na Engineering ila kuanzia mwaka wa kwanza mpaka wa tatu kwa faculty zote wanatumia mfumo wa kawaida wa serika, nina dogo yupo pale anasoma law. Hivyo kwa grade hizi lazima uwe nondo tu.
Sikumaanisha unondo kwenye hiyo thread nilijaribu kutoa ufafanuzi wa grade za SAUT.Unondo unapimwa kwenye grades boss?Nikueleze tu ata chuo kiwe bora kiasi gani kama mwanafunzi hatakuwa tayari kuonesha bidiii binafsi basi jua lazima ataonekana wa ovyo tuuu.Mfano mimi nilipitia katika mazingira ambayo hayakuwa rafiki huko OLevel lakini niliweka juhudi binafsi na hatimaye nikaingia ALevel na kusoma kidato kimoja na waliotoka mazingira bora lakini na bado nikatoka poa pia compared na hao waliotoka mazingira bora.
Kwa sasa hakuna maana ya kubishana ubora wa chuo maana vyuo vyote vipo Tanzania,cha maana hapa ni kujadili ni kwa jinsi gani kama wasomi mnaenda kusaidia Watanzania huko mtaani.Kama waandisi basi muende kujenga majengo imara na si blah blah za vyuo na kama wanasheria nendeni mkasaidie raia huko vijijni ambao hawajui ata haki zao za msingi.
Nchi hii ni changa bado mkianza kubishana nani kasoma wapi kipi ni chuo bora huko makazini mtaanza jitenga na kufifisha maendeleo ya nchi.
Nina jamaa yangu aliajiliwa pale kama ni degree holder alikuwa anafundisha akiwa anamsaidia course instructor mwenye masters tu
Mbwembwe tu,mleta Uzi ukweli anaujua vizuri tu,matawi ya udsm duce na mkwawa Iringa amewahi sikia ujinga wa kufungia?Sasa unaona huu ndio utumbo wenyewe ndio maana vyuo vyao ambavyo ni branch ya SAUT vimefungiwa kwa sababu hiyo walitaka sifa eti kila mkoa kuwa na chuo sasa naona wameangukia pua baada ya Tcu kufunya ukaguzi wakakuta madudu mengi
Mbwembwe tu,mleta Uzi ukweli anaujua vizuri tu,matawi ya udsm duce na mkwawa Iringa amewahi sikia ujinga wa kufungia?
Kama ni afisa habari wao kama wale wasemaji wa timu za Kkoo atakuwa sahihi tu maana huwa wanasifia na kutetea vitu vingine ambavyo havina kichwa wala miguuHuyu jamaa ni mtu wa kupuuzwa labda kaanzisha uzi kwa ajili ya kukipigia chuo cha SAUT promo lakini hajayasoma mazingira na hapo ndipo alipofeli
Udsm hakuna kama Udsm Tz wala hawajawahi kupitwa na chuo chochote cha ndani kwa upande wa Elimu bora
Nawashangaa hiyo elimu Bora Ni ipi?Huyu jamaa ni mtu wa kupuuzwa labda kaanzisha uzi kwa ajili ya kukipigia chuo cha SAUT promo lakini hajayasoma mazingira na hapo ndipo alipofeli
Udsm hakuna kama Udsm Tz wala hawajawahi kupitwa na chuo chochote cha ndani kwa upande wa Elimu bora
Nawashangaa hiyo elimu Bora Ni ipi?
Hii ya hawa wanafunzi wasiojua kitu wakiwa field?
Au elimu wewe unaitazama kwa historia?