Machache kuhusu vyuo vya SAUT na UDSM

Machache kuhusu vyuo vya SAUT na UDSM

Scolari

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2017
Posts
1,723
Reaction score
2,424
Ni lazima tukiri kwamba UDSM Ni chuo chenye historia kubwa ambayo imekipatia heshima chuo hiki mbali na historia kuilinda hadhi na heshima huleta maana ya historia UDSM wameshindwa kumudu kuilinda hadhi na heshima ya chuo kwa sasa yafuatayo Ni machache ya SAUT na UDSM

Wanafunzi wa SAUT ni very competent kuliko wanafunzi wa UDSM

✓UDSM imeharibiwa na siasa waalimu Bora wameenda kwenye siasa bila kuandaa waalimu Bora wa kurithi

✓SAUT iko very strategic to the moment naibu waziri wa elimu alitamka mwenyewe alipofanya ziara pale SAUT nilimtazama kupitia runinga akitamka mwenyewe kwa mdomo wake kwamba SAUT kwa taaluma kwa Sasa iko Bora Sana Tanzania

✓Nenda school of law tazama idadi ya mawakili wanaomaliza wengi wao wamesoma chuo kipi,bila uongo wengi wanatoka SAUT

✓SAUT ina fundisha multi-skills na co-relating subjects kwa kozi anazosoma mwanafunzi kitu kinachomfanya mwanafunzi kua competent

UDSM kwa Sasa sio ile ya zamani CCM na siasa vimeimaliza UDSM
UDSM ilikua enzi hizo tulia ackson na Prof kabudi wanafundisha
Kilichobaki kwa Sasa ni jina na si hadhi ya UDSM
 
Ni lazima tukiri kwamba UDSM Ni chuo chenye historia kubwa ambayo imekipatia heshima chuo hiki mbali na historia kuilinda hadhi na heshima huleta maana ya historia UDSM wameshindwa kumudu kuilinda hadhi na heshima ya chuo kwa sasa yafuatayo Ni machache ya SAUT na UDSM

Wanafunzi wa SAUT ni very competent kuliko wanafunzi wa UDSM

✓UDSM imeharibiwa na siasa waalimu Bora wameenda kwenye siasa bila kuandaa waalimu Bora wa kurithi

✓SAUT iko very strategic to the moment naibu waziri wa elimu alitamka mwenyewe alipofanya ziara pale SAUT nilimtazama kupitia runinga akitamka mwenyewe kwa mdomo wake kwamba SAUT kwa taaluma kwa Sasa iko Bora Sana Tanzania

✓Nenda school of law tazama idadi ya mawakili wanaomaliza wengi wao wamesoma chuo kipi,bila uongo wengi wanatoka SAUT

✓SAUT ina fundisha multi-skills na co-relating subjects kwa kozi anazosoma mwanafunzi kitu kinachomfanya mwanafunzi kua competent

UDSM kwa Sasa sio ile ya zamani CCM na siasa vimeimaliza UDSM
UDSM ilikua enzi hizo tulia ackson na Prof kabudi wanafundisha
Kilichobaki kwa Sasa ni jina na si hadhi ya UDSM
Kwanini UDSM inawanyima usingizi kiasi hiki?

Watu wa Saut mnapenda kujitutumua, Saut level yenu Makumira University huko sasa Saut unataka kulinganisha na UDSM?[emoji23][emoji23][emoji23]

Acha utani mkuu, msalimie GENTAMYCINE
 
Ni lazima tukiri kwamba UDSM Ni chuo chenye historia kubwa ambayo imekipatia heshima chuo hiki mbali na historia kuilinda hadhi na heshima huleta maana ya historia UDSM wameshindwa kumudu kuilinda hadhi na heshima ya chuo kwa sasa yafuatayo Ni machache ya SAUT na UDSM

Wanafunzi wa SAUT ni very competent kuliko wanafunzi wa UDSM

✓UDSM imeharibiwa na siasa waalimu Bora wameenda kwenye siasa bila kuandaa waalimu Bora wa kurithi

✓SAUT iko very strategic to the moment naibu waziri wa elimu alitamka mwenyewe alipofanya ziara pale SAUT nilimtazama kupitia runinga akitamka mwenyewe kwa mdomo wake kwamba SAUT kwa taaluma kwa Sasa iko Bora Sana Tanzania

✓Nenda school of law tazama idadi ya mawakili wanaomaliza wengi wao wamesoma chuo kipi,bila uongo wengi wanatoka SAUT

✓SAUT ina fundisha multi-skills na co-relating subjects kwa kozi anazosoma mwanafunzi kitu kinachomfanya mwanafunzi kua competent

UDSM kwa Sasa sio ile ya zamani CCM na siasa vimeimaliza UDSM
UDSM ilikua enzi hizo tulia ackson na Prof kabudi wanafundisha
Kilichobaki kwa Sasa ni jina na si hadhi ya UDSM

Ondoa upumbavu wako hapa. Unafananisha simba na nyau! Yaonekana hujielewi kabisa!
 
Naibu waziri wizara ya elimu amethibitisha Hilo wewe kenge wa jamii forum unapiga kelele kukataa

Juzi nilikua nafuatilia mashindano ya moot Court practice udsm wamekua nafasi ya tano Kati ya vyuo sita
We jamaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa kama Naibu waziri aliposema Saut imekua bora akasema imekua bora kuliko UDSM au sio?

Mzee hii Saut itabidi ikulipe maana unapambana sana kuilinganisha na UDSM huku mtandaoni, Saut ni Chuo kikuu sikatai ila sio level ya UDSM
Akili ya kawaida tu angalia alumni wa UDSM then angalia Saut ndio utapata picha.

Jaribu hata ku-google tu ulete data za University ranking.

Saut na UDSM ni kulinganisha mwanafunzi wa vidudu na Form six japo wote ni wanafunzi
 
Naibu waziri wizara ya elimu amethibitisha Hilo wewe kenge wa jamii forum unapiga kelele kukataa

Juzi nilikua nafuatilia mashindano ya moot Court practice udsm wamekua nafasi ya tano Kati ya vyuo sita

"Mtu akikuambia jambo la kipumbavu huku akifahamu kuwa unajua ni la kipumbavu lakini ukalifuata, ANAKUDHARAU". (Mwl. Nyerere). Tangu lini naibu waziri amekuwa kipimo cha elimu? Ama kweli una elimu ya kiwango cha Kata! Nimekudharau. SAUT na UDSM wapi na wapi? = Simba na Paka = Mlima na Kichuguu. Kajifananishe na Sebastian Kolowa, Makumila nk. Hata wahadhiri wenye sifa hamna! Wanafunzi wenyewe pia ni makapi baada ya kukosa sifa ya kujiunga UDSM, SUA, MZUMBE, ARDHI, nk.
 
Saut IPO vizuri hasa ufundishaji kicontent(wapo realism sana) kuanzia kutengeneza course works mpaka u.e pia grades zao zipo juu kuliko vyuo vya serikali, udsm ilikuwa zamani lakini sasa wapo ki-idealism sana watu wapikapika tu matokeo..no disco kivile
Mfano maridhawa chukua graduate wa saut na graduate wa udsm upande wa sheria( law department) then fanya assessment utapata jawabu yupi yupo deep na competent katika fani ama ndaki take.
 
Saut ni noma asee, warumi hawana mzaha katika masuala nyeti kama elimu,afya na mengineyo mtambuka..
Hawajali pesa yako wao wanajali ubora tu na sio ajabu kama ushawahi kuhudhuria hata mahafali ya pale saut hasa main campus kukuta wanafunzi 1000+ wameshindwa kugraduate kwa sababu ya:-
-Supplimentary,
-Kukopy research,
-Udanganyifu wakati wa final examz kama vibuti( kuzama na kidesa),
-Ama kumpigiwa pesa na MTU mean unakaguliwa mnapita lakini kwenye answer sheet unaandika namba ya mdau unaempgia paper.
 
Wengine huwa mnataka kuitwa wapumbavu kwa lazima, Saut ni Chuo cha Kara fananisha na vyuo vya Kata vingine
Ni mtazamo wako Mzee baba...Mimi mlnilipiga udsm lakini nilipofika saut nilisanda a see..pia wana course nyingi sana I mean mpaka umalize chuo kwa miaka mitatu ni unit 57+ kutegemea na faculty uliyopo wakati udsm ni units 36+ na hazivuki 50
 
Acheni kufananisha UDSM na vitu vya ajabu, ubora wa chuo haupimwi na Naibu waziri wa elimu. Ila unapimwa kwa kutimiza core function za chuo ksma vile ubora wa elimu, tafiti za chuo, machapisho ya wahadhiri, Cosaltancy, Ubora wa mazingira ya kufundishia,etc
 
Saut IPO vizuri hasa ufundishaji kicontent(wapo realism sana) kuanzia kutengeneza course works mpaka u.e pia grades zao zipo juu kuliko vyuo vya serikali, udsm ilikuwa zamani lakini sasa wapo ki-idealism sana watu wapikapika tu matokeo..no disco kivile
Mfano maridhawa chukua graduate wa saut na graduate wa udsm upande wa sheria( law department) then fanya assessment utapata jawabu yupi yupo deep na competent katika fani ama ndaki take.
Pamoja na elimu yangu ya darasa la saba,Law mtu yeyote anaweza graduate mwenye vigezo vya kusoma hiyo course iwe ni sauti ama wapi etc(my opinion)Ila kuja kuwa kama Chenge, sijui prof Ravji ,Kale kajamaa ka Arusha kembamba Albati kama sikosei,Masumbuko Lamwai naona kama ni kipaji binafsi hivii(Individual Talent)Mimi mwenyewe bush Lawyer huwa najitetea mwenyewe mahakamani na siyo Tanzania(its just a talent mzee na kupenda kile unachofanya)Sijui hata kama nimeongea point.....werevaaaaaa
 
Ni mtazamo wako Mzee baba...Mimi mlnilipiga udsm lakini nilipofika saut nilisanda a see..pia wana course nyingi sana I mean mpaka umalize chuo kwa miaka mitatu ni unit 57+ kutegemea na faculty uliyopo wakati udsm ni units 36+ na hazivuki 50
Kwa hili tu inatosha kuonyesha kuwa hujui chochote juu ya udsm. In terms of course units, the minimum kwa course za miaka 3 ni 90 na sio 36+ kama unavyosema.
 
Wewe na naibu waziri mtakuwa mmesomea huko huko SAUT. Tuache kubishana bure, leta hapa University rank in Afrika 2017 na 2018 ili kuthibitisha ubora wa SAUT dhidi ya UDSM. Mpaka sasa, hakuna chuo binafsi Tanzania kinachoweza kushindanishwa na vyuo vya Umma.
Ni lazima tukiri kwamba UDSM Ni chuo chenye historia kubwa ambayo imekipatia heshima chuo hiki mbali na historia kuilinda hadhi na heshima huleta maana ya historia UDSM wameshindwa kumudu kuilinda hadhi na heshima ya chuo kwa sasa yafuatayo Ni machache ya SAUT na UDSM

Wanafunzi wa SAUT ni very competent kuliko wanafunzi wa UDSM

✓UDSM imeharibiwa na siasa waalimu Bora wameenda kwenye siasa bila kuandaa waalimu Bora wa kurithi

✓SAUT iko very strategic to the moment naibu waziri wa elimu alitamka mwenyewe alipofanya ziara pale SAUT nilimtazama kupitia runinga akitamka mwenyewe kwa mdomo wake kwamba SAUT kwa taaluma kwa Sasa iko Bora Sana Tanzania

✓Nenda school of law tazama idadi ya mawakili wanaomaliza wengi wao wamesoma chuo kipi,bila uongo wengi wanatoka SAUT

✓SAUT ina fundisha multi-skills na co-relating subjects kwa kozi anazosoma mwanafunzi kitu kinachomfanya mwanafunzi kua competent

UDSM kwa Sasa sio ile ya zamani CCM na siasa vimeimaliza UDSM
UDSM ilikua enzi hizo tulia ackson na Prof kabudi wanafundisha
Kilichobaki kwa Sasa ni jina na si hadhi ya UDSM
 
Ubora wa Elimu ya chuo huangaliwa kwa vigezo vifuatavyo

1 #of Prof & Doctors

2 Academic excellence

3 Facilities kama library, laboratories nk

Sasa kwa uchache ukiangalia vigezo hivyo SAUT inaizidi UDSM kwenye kipengele gani ¿ ikiwa hao malecturers wenu wengi ni product ya UDSM alafu SAUT ni rahisi kukuta main course Instructor kuwa ni Masters holder kitu ambacho kinashusha ubora wa elimu ya chuo
 
Kuna vitu mpaka vinasikitisha kiukweli, yaani mtu mpaka unatoka mishipa ya shingo unakomaa SAUT ni bora kuliko UDSM..!!!?? Kwa lipi hasa? Ubishani kama huu unamfanya mtu adharaulike tu hakuna namna, SAUT inabidi muelewe kuanza kujilinganisha na UDSM muda huo bado saaana.
 
Back
Top Bottom