Machache kuhusu vyuo vya SAUT na UDSM

Machache kuhusu vyuo vya SAUT na UDSM

"Mtu akikuambia jambo la kipumbavu huku akifahamu kuwa unajua ni la kipumbavu lakini ukalifuata, ANAKUDHARAU". (Mwl. Nyerere). Tangu lini naibu waziri amekuwa kipimo cha elimu? Ama kweli una elimu ya kiwango cha Kata! Nimekudharau. SAUT na UDSM wapi na wapi? = Simba na Paka = Mlima na Kichuguu. Kajifananishe na Sebastian Kolowa, Makumila nk. Hata wahadhiri wenye sifa hamna! Wanafunzi wenyewe pia ni makapi baada ya kukosa sifa ya kujiunga UDSM, SUA, MZUMBE, ARDHI, nk.
UDSM elimu yote imekwisha kilichobaki pale Ni jina tu

Wanafunzi wao wakienda fieldwork wanaonekana wako poor na shallow
 
Wengine huwa mnataka kuitwa wapumbavu kwa lazima, Saut ni Chuo cha Kara fananisha na vyuo vya Kata vingine
Kazana na kugandisha ubongo

-SAUT Ni chuo Cha kwanza kwa mchepuo wa Sheria
-SAUT Ni chuo Cha kwanza kwa mchepuo wa ualimu
-SAUT Ni chuo Cha kwanza Afrika mashariki na Kati kwa mchepuo wa habari na mawasiliano

Sasa wewe kazana na hiyo udsm yako iliyobakia na historia tu
 
Ubora kwa uwanda upi?

Kuna waalim wanafundisha pale SAUT wanarekodi za kutoshindwa kesi zozote mahakamani ila unaowahitaji wewe Ni wale walijiingiza kwenye siasa na kumulikwa na kamera wakiwatetea kina tundu lissu wanakamatwa na serikali kila kukicha
Hahaha mkuu wewe umetumia kigezo kipi cha kusema mwanafunzi wa mwaka wa 3 sauti ni bora kuliko wa udsm wa mwaka 3

Kumbuka hata hapo law school mmeanza kutoboa juzi juzi baada ya kulalamika sana wanafunzi mnafelishwa. Lakini udsm na mzumbe wengi ndio walikuwa wakipenya kwenye hilo tundu la sindano
 
Acheni kufananisha UDSM na vitu vya ajabu, ubora wa chuo haupimwi na Naibu waziri wa elimu. Ila unapimwa kwa kutimiza core function za chuo ksma vile ubora wa elimu, tafiti za chuo, machapisho ya wahadhiri, Cosaltancy, Ubora wa mazingira ya kufundishia,etc
Ubora wa elimu upi?
Huu wa Hawa wanafunzi ambao wakienda fieldwork wanaonekana mizigo?
Hawa ambao wanashindwa na wanafunzi wa mwaka wa pili ilihali wao wako wa 3&4?
Ubora upi wa hiyo elimu?
Wale ambao pale law school wanasapua na kukerua? Hiyo ndo elimu Bora??
 
Ni lazima tukiri kwamba UDSM Ni chuo chenye historia kubwa ambayo imekipatia heshima chuo hiki mbali na historia kuilinda hadhi na heshima huleta maana ya historia UDSM wameshindwa kumudu kuilinda hadhi na heshima ya chuo kwa sasa yafuatayo Ni machache ya SAUT na UDSM

Wanafunzi wa SAUT ni very competent kuliko wanafunzi wa UDSM

✓UDSM imeharibiwa na siasa waalimu Bora wameenda kwenye siasa bila kuandaa waalimu Bora wa kurithi

✓SAUT iko very strategic to the moment naibu waziri wa elimu alitamka mwenyewe alipofanya ziara pale SAUT nilimtazama kupitia runinga akitamka mwenyewe kwa mdomo wake kwamba SAUT kwa taaluma kwa Sasa iko Bora Sana Tanzania

✓Nenda school of law tazama idadi ya mawakili wanaomaliza wengi wao wamesoma chuo kipi,bila uongo wengi wanatoka SAUT

✓SAUT ina fundisha multi-skills na co-relating subjects kwa kozi anazosoma mwanafunzi kitu kinachomfanya mwanafunzi kua competent

UDSM kwa Sasa sio ile ya zamani CCM na siasa vimeimaliza UDSM
UDSM ilikua enzi hizo tulia ackson na Prof kabudi wanafundisha
Kilichobaki kwa Sasa ni jina na si hadhi ya UDSM

Kitu pekee ninachokijua tu ni kwamba SAUT huwezi Kuwakuta Wapumbavu ila Kwingineko namuachia Mheshimiwa Rais JPM kwani alishawathibitisha Wapumbavu Wawili ambao amekuwa akiwaita hivyo katika Simu ambao wanatokea katika Chuo kingine ( ulichokipambanisha ) na cha SAUT hapa.
 
Wewe una shida mahali. Hapa umesema kufundishwa na walimu bora sio ubora wa wanafunzi
Hivi wanafunzi kufundishwa na walionora ndio kua Bora?

Nimekuambia kwa Sasa mwanafunzi wa mwaka wa tatu Sheria wa SAUT ukimuweka na wa UDSM wa UDSM anaonekana Yuko very shallow tunachokopima hapa si historia ya chuo ila tunatazama ubora wa wanafunzi naona wengi mmekazana kueleza historia na Nani anafundisha na sijui imekua vipi
Hapa umeulizwa utaje products za SAUT ambao ni mawakili bora unakuja tena kwa walimu. Tukuelewe vipi
Ubora kwa uwanda upi?

Kuna waalim wanafundisha pale SAUT wanarekodi za kutoshindwa kesi zozote mahakamani ila unaowahitaji wewe Ni wale walijiingiza kwenye siasa na kumulikwa na kamera wakiwatetea kina tundu lissu wanakamatwa na serikali kila kukicha
 
1127032
 
Hahaha mkuu wewe umetumia kigezo kipi cha kusema mwanafunzi wa mwaka wa 3 sauti ni bora kuliko wa udsm wa mwaka 3

Kumbuka hata hapo law school mmeanza kutoboa juzi juzi baada ya kulalamika sana wanafunzi mnafelishwa. Lakini udsm na mzumbe wengi ndio walikuwa wakipenya kwenye hilo tundu la sindano
Mwenye ubora apite

SAUT inafanya vizuri Sana kwa faculty ya law zaidi ya chuo chochote Tanzania kwa sasa
 
Kitu pekee ninachokijua tu ni kwamba SAUT huwezi Kuwakuta Wapumbavu ila Kwingineko namuachia Mheshimiwa Rais JPM kwani alishawathibitisha Wapumbavu Wawili ambao amekuwa akiwaita hivyo katika Simu ambao wanatokea katika Chuo kingine ( ulichokipambanisha ) na cha SAUT hapa.
Na wenyewe wakajitokeza hadharani kukiri 'upumbavu' wao chaaa
 
Kazana na kugandisha ubongo

-SAUT Ni chuo Cha kwanza kwa mchepuo wa Sheria
-SAUT Ni chuo Cha kwanza kwa mchepuo wa ualimu
-SAUT Ni chuo Cha kwanza Afrika mashariki na Kati kwa mchepuo wa habari na mawasiliano

Sasa wewe kazana na hiyo udsm yako iliyobakia na historia tu
Tuwekee rank ya vyuo bora kwa mwaka huu tuone kama hili lina ukweli. Tuwekee rank ya Tanzania, Africa mashariki, na Africa. Naamini kwa faculties hizo ulizosema hata ubora wa rank ya chuo cha sauti itakuwa imependa. Tusaidie kutuletea hapa data mkuu
 
Wewe na naibu waziri mtakuwa mmesomea huko huko SAUT. Tuache kubishana bure, leta hapa University rank in Afrika 2017 na 2018 ili kuthibitisha ubora wa SAUT dhidi ya UDSM. Mpaka sasa, hakuna chuo binafsi Tanzania kinachoweza kushindanishwa na vyuo vya Umma.
Yes, huwezi hata kukilinganisha na UDOM, ARDHI, MZUMBE, na vyuo vingine vya serikali
 
Mkuu usiwadharau sana SAUT, hawa warumi huwa wanatabia yakuchukua wanafunzi walikosa nafasi shule za serikali na kuwafanya kuwa bora refer seminary zao huchukua wale wazuri na wale waliokosa sifa za kujiunga na shule za serikali lakini mwisho wa siku shule zao ndio hufanya vizuri.
Seminary gani zinafanya hivyo.

Maana seminary huchukua the brightest
 
Wewe una shida mahali. Hapa umesema kufundishwa na walimu bora sio ubora wa wanafunziHapa umeulizwa utaje products za SAUT ambao ni mawakili bora unakuja tena kwa walimu. Tukuelewe vipi
Ndio....unaweza kua na mwalimu anajulikana lkn how mnapangilia masomo yenu yawe modern na mazingira linakua tatizo



Umeuliza product za SAUT
✓Dr.Neema mwita
✓Dr.Magogo
✓ Adv.Davis Muzahula
✓Dr Masanja
✓Adv Muna
✓Adv Chiku chande
✓Adv Jackson Katabalo
✓Adv Syllivia
To mention a few
 
Saut IPO vizuri hasa ufundishaji kicontent(wapo realism sana) kuanzia kutengeneza course works mpaka u.e pia grades zao zipo juu kuliko vyuo vya serikali, udsm ilikuwa zamani lakini sasa wapo ki-idealism sana watu wapikapika tu matokeo..no disco kivile
Mfano maridhawa chukua graduate wa saut na graduate wa udsm upande wa sheria( law department) then fanya assessment utapata jawabu yupi yupo deep na competent katika fani ama ndaki take.
Walishazishusha. Zipo kama za vyuo vya serikali
 
Ni lazima tukiri kwamba UDSM Ni chuo chenye historia kubwa ambayo imekipatia heshima chuo hiki mbali na historia kuilinda hadhi na heshima huleta maana ya historia UDSM wameshindwa kumudu kuilinda hadhi na heshima ya chuo kwa sasa yafuatayo Ni machache ya SAUT na UDSM

Wanafunzi wa SAUT ni very competent kuliko wanafunzi wa UDSM

✓UDSM imeharibiwa na siasa waalimu Bora wameenda kwenye siasa bila kuandaa waalimu Bora wa kurithi

✓SAUT iko very strategic to the moment naibu waziri wa elimu alitamka mwenyewe alipofanya ziara pale SAUT nilimtazama kupitia runinga akitamka mwenyewe kwa mdomo wake kwamba SAUT kwa taaluma kwa Sasa iko Bora Sana Tanzania

✓Nenda school of law tazama idadi ya mawakili wanaomaliza wengi wao wamesoma chuo kipi,bila uongo wengi wanatoka SAUT

✓SAUT ina fundisha multi-skills na co-relating subjects kwa kozi anazosoma mwanafunzi kitu kinachomfanya mwanafunzi kua competent

UDSM kwa Sasa sio ile ya zamani CCM na siasa vimeimaliza UDSM
UDSM ilikua enzi hizo tulia ackson na Prof kabudi wanafundisha
Kilichobaki kwa Sasa ni jina na si hadhi ya UDSM
Mbona udsm inakutesa sana mkuu? Ongeza bidii angalau siku moja ukasome pale kuliko kulalamika ila kama vigezo vinagoma acha kupiga kelele
 
Mbona simjui hata mmoja
Ndio....unaweza kua na mwalimu anajulikana lkn how mnapangilia masomo yenu yawe modern na mazingira linakua tatizo



Umeuliza product za SAUT
✓Dr.Neema mwita
✓Dr.Magogo
✓ Adv.Davis Muzahula
✓Dr Masanja
✓Adv Muna
✓Adv Chiku chande
✓Adv Jackson Katabalo
✓Adv Syllivia
To mention a few
 
Back
Top Bottom