Tetesi: Machache aliyonieleza mfanyakazi wa TPA yana ukweli?

Kwa mjibu wa hawa wenzetu wenye visomo vya vitabuni tu, hilo ni jambo lisilowezekana kabisa.
Uwekezaji ni kutoka nje tu kuja kwetu, kwa sabau sisi hatuna uwezo.
Tunachotakiwa ni kuwategemea tu hao wawekezaji waje hapa.
Mzee Lowassa pale jangwani alitaja neno elimu mara tatu wakati akianza hotuba yake ya kampeni ya mwaka 2015.

Wenzetu hawachezei elimu, hawaingizi siasa hata kidogo kwenye mifumo yao ya elimu. Ninamuelewa sana Profesa Assad anaposema ufanisi wetu ni mdogo kwa sababu watendaji wengi hawana tija inayotakiwa iendane na hizo ofisi wanazoshikilia.
 
Mzee Lowassa pale jangwani alitaja neno elimu mara tatu wakati akianza hotuba yake ya kampeni ya mwaka 2015.

Wenzetu hawachezei elimu, hawaingizi siasa hata kidogo kwenye mifumo yao ya elimu. Ninamuelewa sana Profesa Assad anaposema ufanisi wetu ni mdogo kwa sababu watendaji wengi hawana tija inayotakiwa iendane na hizo ofisi wanazoshikilia.
Hojq yako ni nini kuhusiana na haya yanayoendelea?
 
Wewe ni mwongo.

Hujaeleza chochote kama hao watu wanaofanya hayo unayodai wanayafanya ni kwa sababu ya Samia.
Umewauliza wakakwambia hawataki wawe na bandari yao ya Dar es Salaam?

Kwa hiyo kwa akili zako finyu, kwa wao kutokuwa na habari juu ya DP World ni sawa na kukubaliana na upumbavu unaofanywa na Samia na genge lake?

Umewauliza wakakwambia wao hawaoni tatizo lolote juu ya mkataba huo?

Hopeless Kabisa!
Sijaongelea suala la watu wa huku kukubali au kukataa huo mkataba.Mimi nimekueleza ubize wa watu upo kwenye maisha yao binafsi na kwa takwa lako la kuiondoa CCM madarakani,ni sawa na ndoto tu.
Tabora wakulima wa tumbaku wamepata pesa mwaka huu mpaka baadhi wamerimbuka na wingi wa pesa.Sasa usifikiri hawa wakulima wataitosa CCM ya Sa100 eti kwa kigezo cha bandari ambayo wao haiwagusi moja kwa moja katika maisha yao.
 
Sijaongelea suala la watu wa huku kukubali au kukataa huo mkataba.Mimi nimekueleza ubize wa watu upo kwenye maisha yao binafsi na kwa takwa lako la kuiondoa CCM madarakani,ni sawa na ndoto tu.
Tabora wakulima wa tumbaku wamepata pesa mwaka huu mpaka baadhi wamerimbuka na wingi wa pesa.Sasa usifikiri hawa wakulima wataitosa CCM ya Sa100 eti kwa kigezo cha bandari ambayo wao haiwagusi moja kwa moja katika maisha yao.
Kumbe mategemeo yako yapo huko, kufikiri kwamba CCM ndiyo inayofanya hao wakulima wa tumbaku na mpunga kusahau wajibu wao wa msingi?
Hili linakueleza wewe ni mtu wa namna gani. Nikisema hapa kwamba nataka nikununue ubadili kauli uliyoweka hapo juu sina shaka yoyote utanifuata mbio huku ukitembelea magoti!

Watu wa aina yako ndio waliojaa huko ndani ya CCM wakati huu, na kiama chenu kinakuja.
 
Kumbe mategemeo yako yapo huko, kufikiri kwamba CCM ndiyo inayofanya hao wakulima wa tumbaku na mpunga kusahau wajibu wao wa msingi?
Hili linakueleza wewe ni mtu wa namna gani. Nikisema hapa kwamba nataka nikununue ubadili kauli uliyoweka hapo juu sina shaka yoyote utanifuata mbio huku ukitembelea magoti!

Watu wa aina yako ndio waliojaa huko ndani ya CCM wakati huu, na kiama chenu kinakuja.
Endelea kupayuka ukifikiri kuna kitu utabadilisha katika maisha ya familia yako kupitia hiyo bandari.Tunaojua majukumu yetu tupo katika kuziangaikia familia zetu kwa njia za moja kwa moja.Bandari ni kitegauchumi cha serikali,na ni serikali yenyewe ndiyo inajua hasara na faida inayoipata hapo.Na majukumu ya serikali ni kuleta na kujenga miundo mbinu kwa kutumia pesa zipatikanazo katika vitegauchumi vyake.
 
Endelea kupayuka ukifikiri kuna kitu utabadilisha katika maisha ya familia yako kupitia hiyo bandari.Tunaojua majukumu yetu tupo katika kuziangaikia familia zetu kwa njia za moja kwa moja.Bandari ni kitegauchumi cha serikali,na ni serikali yenyewe ndiyo inajua hasara na faida inayoipata hapo.Na majukumu ya serikali ni kuleta na kujenga miundo mbinu kwa kutumia pesa zipatikanazo katika vitegauchumi vyake.
Nikuulize, wewe umeijuaje familia yangu hadi ulizungumzie hapa.
Hili tu linakufanya uonekane kuwa mpuuzi.

Angalia ujuha wako: Eti "ni serikali yenyewe ndiyo inajua hasarra na faida inayopatikana bandarini"; wewe umezuiwa kujua kama hiyo bandari inafanya kazi kwa ufanisi au la?
Hapo ulipo hujui kwamba matatizo yaliyopo hapo hapo bandarini yanatokana na ubovu wa utendaji unaoanzia serikalini; hata hili hulijui?
 
JPM hakufanikiwa lolote huko bandari, ufisadi haukuwahi kuisha TPA na ufanisi Bado ulikua chini sana.

Sijui why mnamuona JPM alikua perfect, hivi si ndio NIDA alitumbua weee mbona bado vitambulisho havitoki?

Wote Yale Yale tu
Watu hawaangaliii facts.

Wanasikia mikelele na kufuata mihemuko. JPM kuna kitu alikua abaharibu kufanya. Ila hakua smart enough.

Huyu wa sasa ndo sijui hata anafanya nn
 
Mpaka siku akitokea Rais atakae nyonga watu kwenye hzo taasisi nyeti ndo tutaona ufanisi

Bila shaka hatuwez kumpata rais wa namna hyo maana kila rais anaeingia lazima alipe fadhila za waliomuweka kwahyo unakuta taasisi nyeti kama hzo kumejaa watoto wa waliomsaidia kukalia hicho kiti

Kwahyo suruhisho rahisi ni katiba mpya tu
 
Hivi nyie CCM kama kitu kidogo kama Bandari mnasema mmeshindwa kuendesha, Je mnapata wapi uharali wa kuongoza nchi ambayo hiyo bandari ni ka kipande tuu???????.Hiyo ni alarm kwa wananchi kuwa CCM ilishashindwa kuiongoza hii nchi muda mrefu saana.
 
Tatizo ni mama Mwenyewe Wala SIO watanzania.

Hii nchi kamwe haiataacha kutafunwa kama tutakua na watu wabinafsi na wanaosimamia Mila na itikadi zao Badala za Katiba.

Yani akiingia mmanyema anaangalia Mila za kimanyema, akiingia Mzaramo anaangalia Mila za kizaramo Badala ya Katiba. Akiingia Mzanzibari au mtanganyika akataka ajikite kwenye ukanda wake Badala ya Katiba ya nchi. Mbaya zaidí CCM Imekua ikicheza mchezo mbaya zaudi Wa Udini Kila Wanapoona Wizi wao unaanza kuwachosha Wananchi.


Mfano karata anayetaka kuitumia Kikwete ni kuwachanginisha Wakristo kupitia madhahebu anayojua miaka yote hawalipendi kanisa la Roma ,Mfano Wasabato,na makanisa ya Mabepari na wakaloni Mambo Leo ya kimarekani yanayoendeshwa kifamilia na kukusanya Sadaka Kwa ajili ya kujilimbikizia Mali bila kutoa Mchango Wowote au huduma yoyote kwenye jamii.

Magufuli alikua na akili kubwa na Maono.
Chuki kubwa ya watu wachache sana ndiyo inayoliumiza taifa hili.

Kuelekea 2025 wapinzani walikua na nafasi kubwa sana ya kuchukua nchi Kwa asilimia kubwa sana.
Tatizo litakalowasumbua ni Kuwa na Vyama visivyo na Mrengo Wa kisiasa.
CCM ni Chama Cha kijamaa na katiba Yetu na Mila zetu na utamaduni WETU ni utamadunia unayoendana sana na ujamaa na kujitegemea .
Mwalimu alitumia nguvu kubwa sana kulinda Mila zetu ,umoja WETU na utamaduni WETU na hulka Yetu ya Ujamaa.
Tatizo wamejitokeza watawala wanaoendekeza ama Udini au biashara Zao na uroho Wa Mali . Yani kuanzia kipindi Fulani walijitokeza watawala wakaanza kuwagawa wanafunzi mashuleni kulingana na Dini zao Kwa kuvaa mavazi Tofauti. Mara zikaanza Taasisi za kudhaminiwa na Matajiri Wenye Dini Fulani kuanzisha benki zisizo na Riba Kwa watu Wa Dini Fulani,mara wakaanza kufadhili Taasisi za kuficha watoto misituni na kuwafundisha mambo ya kupigana na kupigania Dini. Mabiloni ya pesa yakaelekezwa mifukoni mwa watu. Baadae wakajitokeza watu wakapiga Kelele Kuwa hatuelekei kuzuri. Watawala wakakaa kimya na chama tawala. Watu wakaanza kumwagiwa Tindikali kule Zanzibar watawala wakakaa kimya . Zanzibar ni kaeneo kadogo watu wanajuana lakini hakuna aliyekamatwa. Kwa kuchoma makanisa moto Wala kumwagia mapadri Tindikali.
Kikwete akemee Dini zinazokaa kimya wakati watawala wanapokiuka Sheria na kuwaonea wanyonge kwenye utajiri aliouumba Mwenyezi MUNGU.

Nchi ni ya MUNGU,rasilimali ameziumba Mungu sio chama Cha Mapinduzi Wala Watawala na tamaa Zao. MUNGU ananungunikiwa na wanyonge kwenye nchi aliyoiumba na kuiwekea rasilimali nyingi Kwa sababu ya Wanasiasa waovu halafu eti viongozi Wa Dini wakae kimya.!!


Lakini walipoanza kusema CCM isichaguliwe kule Zanzibar ndipo walipokamatwa mashekhe na kupewa kesi ya ugaidi. Waliona CCM ikiondoka madarakani maslahi ya wale wanaotumika kupokea Mapesa machafu kupitia mipango Yao ya hovyo yatapotea.

Hii nchi Kuna watu wachache wanajilimbikizia Mali kutokana na harakati chafu sana na Kwa sababu wamejificha ndani ya Chama Cha Mapinduzi hawaguswi.


Haiwezekani bandari kubwa kama ya Dar es Salaam wapewe Waarabu kuja kuiendesha Chini ya Serikali ya wezi waliojawa na Udini ,uchama na ubinafsi mkubwa halafu ifanye Vizuri . Ni ndoto ya alinacha . Kinachofanyika ni Wezi waliochota pesa za umma kuungana na DPW kujiuzia bandari Kwa mgongo Wa Nyuma.

Hivi kama Mwarabu Chini ya mkataba huo mbovu na utawala mbovu Chini ya Chama kibovu na TRA yenye utendaji mbovu na TPA mbovu akishindwa kuleta tija atafanywaje.?
Yaani Waarabu wanaotuibia wanyama na kufanya njama kumiliki nchi ya Loliondo ndani ya Tanganyika Leo wamegeuka na Kuwa na Huruma ya kutukuaanyia pesa za bandari yetu Kisha watupe tupate maendeleo tusomeshe watoto WETU wapate utaalamu mkubwa na tuwe na jeshi kubwa na imara ,na teknolojia kubwa na maendeleo makubwa ,tuchimbe mafuta Yetu na gesi yetu na urenium Yetu Kisha tuchukue bandari Yetu tuimiliki na wao warudi Dubai Jangwani . Ni kichaa pekee aliyechanganyikiwa na kubaki kama Nabii Tito anaxeweza kuamini Kuwa DPW watatuletea maendeleo.
Kwanza hawatamuogopa MTU yeyote Kwa sababu Hana Cha kuwafanya na Hana mamlaka ya kuwafanya Chochote.
Magufuli aliogopwa mana alikua anaweza kumfanya MTU Chochote.

Hawa Hata Wakiiba hakuna MTU atawakamata Wala Kufunga Akaunti zao Wala kuwafungulia kesi za uhujumu uchumi Wala kuwanyanganya Mali zao Wala kutengua uteuzi wao.
Kifupi Kwa Serikali ya chama Cha Mapinduzi ni Bora tuendelee kuendesha bandari Yetu mana angalau akijakutokea Magufuli Mwingine basi atawatumbua Wezi na kuwaweka gerezani au Hata kutaigisha Mali za wale wasiotaka kubadilika . Angalau watu watakua waoga pale bandarini. Watanzania ni waoga lakini wakiona wenzao wanaiba na hawasemeshi Wala kutumbuliwa basi na wao Wanaiba. Na wakiona Kuwa kibali Cha kuiba ni shati la kijani basi wanavaa.

Bandari zetu wapewe watanzania Wenzetu . Wapewe Kwa mikataba inayobana wizi kuliko kupewa waarabu ambao hatutaweza kuwabana Kwa sababu mkataba umewapa heshima kubwa Kama miungu. Mbaya zaidí kuna watu wanawaona kama vile ni wakombozi Wa kidini na kiroho.

Bodi ya bandari iundwe na Majenerali Wa Jeshi la Wananchi Badala ya makada Wa CCM waliotumikia wizi Kwa miaka mingi na wanaendelea kuwaza pesa za Rushwa zipatikane wapate Mgao .

Ukimsikiliza Zito kabwa huwezi kuamini Kuwa Ana Miliki chama Cha kijamaa kifalisafa na kiimani Bali ni Muungano Wa fursa ya kuiba pamoja na CCM.
Umeandika kwa uchungu sana nimesoma neno kwa neno line by line
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom