Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 2,951
- 1,993
Mzee Lowassa pale jangwani alitaja neno elimu mara tatu wakati akianza hotuba yake ya kampeni ya mwaka 2015.Kwa mjibu wa hawa wenzetu wenye visomo vya vitabuni tu, hilo ni jambo lisilowezekana kabisa.
Uwekezaji ni kutoka nje tu kuja kwetu, kwa sabau sisi hatuna uwezo.
Tunachotakiwa ni kuwategemea tu hao wawekezaji waje hapa.
Wenzetu hawachezei elimu, hawaingizi siasa hata kidogo kwenye mifumo yao ya elimu. Ninamuelewa sana Profesa Assad anaposema ufanisi wetu ni mdogo kwa sababu watendaji wengi hawana tija inayotakiwa iendane na hizo ofisi wanazoshikilia.