Smooth Criminal
JF-Expert Member
- May 13, 2024
- 1,364
- 2,348
Hapo kwa bwana nguzo ndo ningefungua jalada la kesi yangu. But ndugu ni ndugu tu me ningedili na mke. Usijali bwana nguzo labda ni utoto tu π π π . Ila nguzoπ€£π€£π€£Ahahha sasa ungekuwa wewe ungachekea mpaka wanakuita bwana nguzo
Acheni kumind bhana mkiwakuta mashemeji tuna waburudisha maana nyinyi mnakuwa kazini wazee πNitakudunda kama Jobless_Billionaire
Mimi namuita shupiwe ila hajui kwanini na ajui kama najua wananiita nguzoHapo kwa bwana nguzo ndo ningefungua jalada la kesi yangu. But ndugu ni ndugu tu me ningedili na mke. Usijali bwana nguzo labda ni utoto tu π π π . Ila nguzoπ€£π€£π€£
Utapigwa lisasi ya kalio jichanganueAcheni kumind bhana mkiwakuta mashemeji tuna waburudisha maana nyinyi mnakuwa kazini wazee π
Hahahah kumbe unawamudu, ila tu hujaamua. Unajua nini cha kufanya kuisetttle hiyo ishu bwana nguzo. Huyo dogo anasoma day, au karudi tu likizoMimi namuita shupiwe ila hajui kwanini na ajui kama najua wananiita nguzo
Day anasomaHahahah kumbe unawamudu, ila tu hujaamua. Unajua nini cha kufanya kuisetttle hiyo ishu bwana nguzo. Huyo dogo anasoma day, au karudi tu likizo
Kwahiyo Mabroo mmeanza kutuonea wivu madogo machachari kwa kuwa tunao uwezo wa kuwachekesha mashemeji??Utapigwa lisasi ya kalio jichanganue
Kwahiyo Mabroo mmeanza kutuonea wivu madogo machachari kwa kuwa tunao uwezo wa kuwachekesha mashemeji??
Mna hofu tutapewa tunda kimasihara? π
Kuweni na amani Mabroo, mnaumiza sana vichwa huko changanyikeni kutafuta pesa, kwahiyo majukumu madogo kama ya kumchekesha wife, kumfanya kuwa happy, tuachieni madogo bhana π πDogo unanipa hasira lala
Huwa nabakisha fuvu la kichwa tu.Fursa hiyo asiipate secretarybird atajilia mpka unyayo
Kwan humuamin kaka Yako jmnMfano mdogo wako wakiume ana ukaribu sana na mkeo yaani unakuta jikoni wanapiga story mpaka wanacheka ile mbaya ila mkeo akirudi chumbani mnacheka kiasi tofauti na akiwa na mdogo wako utachukua hatua gani?
Utakufa vibayaHuwa nabakisha fuvu la kichwa tu.
HaifaiKwan humuamin kaka Yako jmn
Hapana bana π.Utakufa vibaya
Muite dogo mkalishe chini muekee mipaka awe anaheshima na shemj yakeNijibu
Kumtesa kijana sasa uooDogo yuko idle sana anzisha bustan apo nyumban dogo akitoka Shule ni kumwagia weka mifugo ng'ombe akirud akakate nyasi au kulisha kuku
Endelea tu πHapana bana π.