Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,544
- 13,034
- Thread starter
- #161
FRDC ni jeshi la serikali ya DRC!!!Mkuu tofauti ya waasi FDLR na FRDC ni nini
FRDC ni jeshi la serikali ya DRC!!!Mkuu tofauti ya waasi FDLR na FRDC ni nini
😂Interesting story, hao wenye ubini wa Yosso ni familia moja? Vifo vyao vilisababishwa na nini?
Nipo porini...ngoja nitulieMkuu tupia tu episodi tumalizie wiki endi maana leo Afu koni hakuna
Very interesting story ya upambanaji .... shusha nondo mkuuNipo porini...ngoja nitulie
Ukimya huu isije kuwa Wabangubangu au Makemba Bunene wamepita naeVery interesting story ya upambanaji .... shusha nondo mkuu
Muzungu aliusoma mchezo inakuwaje mdogo mtu abebe kitita baada ya Dili hata ningekuwa mimiMuba Mubanda yule yule au mwana mwingine maana haikuwa rahisi muba kupigwa kindezi hivyo
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app