omben
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 821
- 476
HILO TATIZO LITAKUWA LIPO BAADHI YA WATU. ILA KWANGU HAKUNA HILO TATIZOKitengo cha IT hapa JAMII FORUMS siamini kwamba mmeshindwa kabisa kutuwekea kitufe cha LIKE badala yake tukitaka ku`LIKE inabidi tupost emoji ya makofi,kweli?acheni kutuona wapuuzi bana,kila siku mnafanya marekebisho ya SITE afu mnashindwa kuuona umuhimu wa kitufe cha LIKE?
naamini mpo wengi mnaokwerwa na hili,naomba niwe mwakilishi wa wengi wanaokereketwa na upuuzi huu na muufanyie kazi,make JF to be the best of it..
Sent using Jamii Forums mobile app
