Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Nimesikitika sana mabondia wetu wanashindwa hata kupata milo ya maana kujenga miili yao.
Kulia ni bondia Festus Omondi kutoka nchini Uganda atakaye pambana na hasimu wake Mbwana Matumla (kulia) katika raudi 12,uzito wa Bantam Weight.Mbwana Matumla ana uzito wa Kg 53 na Festus Omondi ana Kg 51
Bondia Festu Omondi kutoka Uganda akipima uzito leo mchana ndani ya ukumbi wa Idara ya habari Maelezo
Kulia ni bondia Festus Omondi kutoka nchini Uganda atakaye pambana na hasimu wake Mbwana Matumla (kulia) katika raudi 12,uzito wa Bantam Weight.Mbwana Matumla ana uzito wa Kg 53 na Festus Omondi ana Kg 51
Bondia Festu Omondi kutoka Uganda akipima uzito leo mchana ndani ya ukumbi wa Idara ya habari Maelezo