Mabondia wetu njaa au utapia mlo?

Fidel80

JF-Expert Member
May 3, 2008
21,947
4,444
Nimesikitika sana mabondia wetu wanashindwa hata kupata milo ya maana kujenga miili yao.
5.jpg

Kulia ni bondia Festus Omondi kutoka nchini Uganda atakaye pambana na hasimu wake Mbwana Matumla (kulia) katika raudi 12,uzito wa Bantam Weight.Mbwana Matumla ana uzito wa Kg 53 na Festus Omondi ana Kg 51
4.jpg

Bondia Festu Omondi kutoka Uganda akipima uzito leo mchana ndani ya ukumbi wa Idara ya habari Maelezo



3.jpg
 
Hapa sijawaelewa mnatakeje. Huo uzito wanaopigania si ndio miili yao? Au mnataka wawe na miili ya kilo 90? Shaurini vyama vya ndondi viondoe uzito mwingine wabakishe uzito wa juu pekee hapo ndio mtapata wenye miili mikubwa.
 
Hapa sijawaelewa mnatakeje. Huo uzito wanaopigania si ndio miili yao? Au mnataka wawe na miili ya kilo 90? Shaurini vyama vya ndondi viondoe uzito mwingine wabakishe uzito wa juu pekee hapo ndio mtapata wenye miili mikubwa.
Umenena vyema mkuu ! Ndo mana kuna uzito tofauti tofauti katika ndondi, kuna uzito wa unyoya (feather weight), uzito mwepesi (light weight), bantam weight, mpaka heavy weight...sasa mtu wa uzito wa unyoya hawezi akawa na mwili kama Kaseba..it's not rocket science
 
Nimesikitika sana mabondia wetu wanashindwa hata kupata milo ya maana kujenga miili yao.
5.jpg

Kulia ni bondia Festus Omondi kutoka nchini Uganda atakaye pambana na hasimu wake Mbwana Matumla (kulia) katika raudi 12,uzito wa Bantam Weight.Mbwana Matumla ana uzito wa Kg 53 na Festus Omondi ana Kg 51
4.jpg

Bondia Festu Omondi kutoka Uganda akipima uzito leo mchana ndani ya ukumbi wa Idara ya habari Maelezo



3.jpg
Sio njaa wala utapiamlo, ni ukapa!
Anyway, lakina wanakaribia kufanana na Avator yako
 
Hapa sijawaelewa mnatakeje. Huo uzito wanaopigania si ndio miili yao? Au mnataka wawe na miili ya kilo 90? Shaurini vyama vya ndondi viondoe uzito mwingine wabakishe uzito wa juu pekee hapo ndio mtapata wenye miili mikubwa.

kha aisee yani wewe utakua mtu wa ajabu sana kama hulioni tatizo hapo....hebu jaribu kuangalia tena hizo pics....hatuzungumzii ukubwa wa miili tunazungumzia ''''AFYA BORA''''....we wazani kunenepesha matumbo kwa wabongo ndo sign ya afya bora kama wanavyojidanganya waliowengi... it means huoni kabisa hizo physical appearance zinakushow sign gani wewe kama Great thinker??????
.....so unataka nambia wakilinganishwa na mabondia wengine wa uzito sawa toka sehemu zenye akili duniani ..... watafanana appearance yao??????
......u must be jokin' hommie....
 
kha aisee yani wewe utakua mtu wa ajabu sana kama hulioni tatizo hapo....hebu jaribu kuangalia tena hizo pics....hatuzungumzii ukubwa wa miili tunazungumzia ''''AFYA BORA''''....we wazani kunenepesha matumbo kwa wabongo ndo sign ya afya bora kama wanavyojidanganya waliowengi... it means huoni kabisa hizo physical appearance zinakushow sign gani wewe kama Great thinker??????
.....so unataka nambia wakilinganishwa na mabondia wengine wa uzito sawa toka sehemu zenye akili duniani ..... watafanana appearance yao??????
......u must be jokin' hommie....

BABA,
Huyo mwingine si ni bondia kutoka Uganda si nasikia kule wanakula Matoke kwa Sangara na Sato!
 
jamani huyo akipigwa ngumi iliyoshiba si anakufa kama sio kuzimia wiki nzima!! wangeweka sheria zinazolenga pia body structure na weight ya mchezaji...yani sisi kwetu njaa tu, mpaka mashindano ya mbuzi, utakuta mbuzi nao utapiamlo mtupu,
 
Cheka au Mbwana Matumla? Ninadhani huyu jamaa hakuwa miaka 2/3 iliyopita. Kutakuwa na tatizo.
 
hivi matokeo yako vipi??????
cheka kadundwa????????

Cheka, Matumla wang’ara Dar

MABONDIA wa Tanzania Francis Cheka na Mbwana Matumla, juzi usiku waling’ara kwenye mapambano ya ngumi za kulipwa ya kimataifa yaliyofanyika kwenye Uwanja wa PTA Sabasaba.

Cheka bondia anayezidi kujizolea umaarufu alitetea taji la UBO na kutwaa taji la WBC uzito wa kati.

Kwa upande wa Matumla alitetea taji la ICB na kutwaa la UBO uzito wa Bantam. Hata hivyo, Cheka hakupigana na Muargentina Enrico Areco kama ilivyokuwa ikitangazwa na waandaaji wa mapambano hayo Prime Time Promotions na badala yake alipigana na Isak Tavares wa Brazil.

Kwa mujibu wa waandaaji, bondia Areco alishindwa kufika nchini baada ya kutokea matatizo katika hati yake na kusafiria na ndipo ilipoamuliwa aje Tavares ambaye alifika Jumamosi mchana.

Mabondia wote walishinda kwa KO katika raundi ya pili na ya tano ya mapambano yao.

Tangu kuanza kwa pambano lake, Cheka alionekana dhahiri kumtwanga mpinzani wake kwani alimuangushia makonde ya nguvu na kumuangusha mara mbili katika raundi ya kwanza.

Alifanya vivyohivyo katika raundi ya pili ambapo alimuangusha mara mbili tena kabla ya mwamuzi kumaliza pambano ili kumuokoa Mbrazil huyo.

Kwa upande wa Matumla aliyepigana na Francis Omondi wa Uganda alimchapa kwa KO katika dakika ya kwanza ya raundi ya tano.

Kabla ya kumshushia kipondo hicho alimuangusha mpinzani wake mara tatu mfululizo katika raundi hiyo


Source: habarileo

Hapa nomba mwenye kujua hii mikanda iliyotajwa inatambulika??

UBO......
ICB......
labda WBC lakini kwenye web yao hakuna hawa watu maajabu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom