Mabinti wenye makovu

Mabinti wenye makovu

benteke

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2014
Posts
1,305
Reaction score
1,069
Kovu lililoshonwa nyuzi mbili au tatu au hata lisiloshonwa, na linaweza kuwa popote usoni, mguuni au hata mkononi.

Hawa mabinti wanakuaga wanajiamini sana na ukimletea zengwe lazima akuadabishe.

Naongelea kutokana na uzoefu maana mabinti wa hivyo ndio ugonjwa wangu.

Na kovu sio lazima alilipata ukubwani, wakati mwingine ni kutokana na utundu wao na kujiamini kwao basi walikua wakipigana hata na wanaume wakati wako bado wanasoma secondary au primary.

Simaanishi ni mabinti wote.
 
Interesting.........some truth....niliwahi date miss Tanzania contestant....aliwahi umwa na mbwa utotoni.. alikuwa anahangaika dawa ya kuondoa kovu...kabla ya fainali...wasichana wana shida
 
Interesting.........some truth....niliwahi date miss Tanzania contestant....aliwahi umwa na mbwa utotoni.. alikuwa anahangaika dawa ya kuondoa kovu...kabla ya fainali...wasichana wana shida

The Boss vipi huyo bint bado yuko? mwambie asilitoe.
 
Nafikiri dada mpenzi miss chagga ulimkovu wako uliotokana na kibao cha mbuzi unahusika hapa....
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom