Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,381
- 24,979
Sio Mood yani unakuwa Umechoka balaaa tena kama ndo hili Jua la dar aisee Labda umpate demu wa kisukumaa...
Sio Mood yani unakuwa Umechoka balaaa tena kama ndo hili Jua la dar aisee Labda umpate demu wa kisukumaa...
Sio mechi ya kitandaniDuuuh wanawake mu wavivu sana km 1 tu kweli.
Yaani mimi kiukweli huwa napenda sana kutembea kiukweli yaani sehemu kama haizidi km 3 me huwa naona bora kukanyaga labda niwe na haraka ndio nachukua usafiri.
Naamini unafatilia mpira. Kabla ya match si unaona hata wachezaji huwa wanapasha kidogo? Hiyo pia inasaidia kuuweka mwili sawa kabla ya mtanange.
Duuuh wanawake mu wavivu sana km 1 tu kweli.
Yaani mimi kiukweli huwa napenda sana kutembea kiukweli yaani sehemu kama haizidi km 3 me huwa naona bora kukanyaga labda niwe na haraka ndio nachukua usafiri.
Naamini unafatilia mpira. Kabla ya match si unaona hata wachezaji huwa wanapasha kidogo? Hiyo pia inasaidia kuuweka mwili sawa kabla ya mtanange.
Sitaki kuamini yaani na ww ni mvivu kiasi hicho.Sio mechi ya kitandani
nyingi? ila inategemea huyo dada ni mrefu futi ngapiKg 90
Achana nae tafuta mwanamke anaejielewa au kisa ana tako nn 🤣
Mkuu watakuita wa dar es salaam sasa hivi...Sasa km 1 ni umbali mdogo...?
Naona tuition yako kweli ina mchango mkubwa....hongera.Umeanza kuwa romantic eehh?
Naona tuition yako kweli ina mchango mkubwa....hongera.
Nadhani twafaa woteTutafute mtoto binti mayai tufanye jaribio....
Nadhani twafaa wote
Majitu ya hivo unadhani yanashika mimba basi, hapo ana vijiti vya uzazi kila kiungo.
Unataka unipe kazi mbili sio?Mimi sio binti mayai.....
Twende tukachunge mbuzi.....
Huu ni wimbo gani? Nadhani ni wimbo bila shaka!Manka hakuwahi kufua,manka kuosha vyombo kupiga deki alikuskia.