Mabinti waliolelewa kimayai na changamoto ya mahusiano

Duuuh wanawake mu wavivu sana km 1 tu kweli.
Yaani mimi kiukweli huwa napenda sana kutembea kiukweli yaani sehemu kama haizidi km 3 me huwa naona bora kukanyaga labda niwe na haraka ndio nachukua usafiri.

Naamini unafatilia mpira. Kabla ya match si unaona hata wachezaji huwa wanapasha kidogo? Hiyo pia inasaidia kuuweka mwili sawa kabla ya mtanange.
Sio mechi ya kitandani
 
Maanake ya siku hizi mavivu sana, yani hata ingekuwa km 2 kuna umbali gani hasa ikiwa mnatembea taratibu mkipiga stori? Bodaboda endeleeni kutafuna haya mawatu
Duuuh wanawake mu wavivu sana km 1 tu kweli.
Yaani mimi kiukweli huwa napenda sana kutembea kiukweli yaani sehemu kama haizidi km 3 me huwa naona bora kukanyaga labda niwe na haraka ndio nachukua usafiri.

Naamini unafatilia mpira. Kabla ya match si unaona hata wachezaji huwa wanapasha kidogo? Hiyo pia inasaidia kuuweka mwili sawa kabla ya mtanange.
 
Back
Top Bottom