Mabinti waliolelewa kimayai na changamoto ya mahusiano

Mabinti waliolelewa kimayai na changamoto ya mahusiano

Naona una confuse mtu mnene ambae ni obese na mtu alielewa kwenye middle au upper income family!

Obesity inampata yeyote!

Naona unachanganya mambo!

Na pia,kama upo stage ya kwenda kumtomba demu mnatembea kwa miguu kwenda gesti hiyo biashara ni heri uache ukatafute pesa!
Hahhhahhhahhaa [emoji23][emoji23][emoji23]last paragraph.. plzzzz[emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kg 90
 
Naona una confuse mtu mnene ambae ni obese na mtu alielewa kwenye middle au upper income family!

Obesity inampata yeyote!

Naona unachanganya mambo!

Na pia,kama upo stage ya kwenda kumtomba demu mnatembea kwa miguu kwenda gesti hiyo biashara ni heri uache ukatafute pesa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mabinti waliolelewa kilelemama/kimayai ni shida sana.

Siku ya kwanza kuonana naye nilimuweka kidogo tuu(almost 20 minutes). Akawa anadai eti amechoka kukaa.

Tukaonana for the first time. Ni binti mwenye early 30's. Ila sasa mambo yake na umri hayaendani.

Hiyo siku tukapiga stori weeeh, nikamsindikiza kwao nami nikaenda kwangu.

Makubaliano yetu yalikuwa ni tuwe friends for benefit. Mwenye shida ni yeye na sio mimi, sababu hana mtu wa kumkuna.

Kupanga appointment ya kubenjuana akadai hawezi sleep-over. Kisa eti hajawahi fanya hivo na akifanya nyumbani watamshangaa sana.

Nikasema sio kesi, tukutane mchana tuu, tupige game letu kila mtu akalale kwake/kwao.

Siku ya siku tukaonana. Kwanza tulipokutania na tulipokuwa tunaenda kutulizana ni kama kilomita 1 sema ni njia ya vilima kidogo.

Nikasema ngoja tutembee tuu, kupanda bajaji/boda kwa kilomita 1 ni uzwazwa. Aiseee, njiani kidogo mtoto wa watu ateme roho.

Akipanda kimlima kimoja anahema balaa. Akawa ananiuliza hatufiki tuu? Jibu langu likawa moja tuu, bado kidogo.

Mpaka kuja kufika kasweat balaa na amefura mnoo kwa kumtembeza.

Ndipo akaanza kunambia hajazoea kutembea umbali mrefu namna ile. Pia isitoshe ana tatizo la presha na yupo kwenye dozi.

Pia akadai hajazoea kufanya kazi ngumu kama kufua, kupika n.k. Nyumbani wanamfuliaga na huwa haingii jikoni kupika.

Hapo alipo ana 90kg. Ana presha na ndio kwanza ana 30's yrs. Nikajiuliza huko ndani si naenda kuua?

Ila nikajipa moyo nikasema ngoja nikajionee itakuwaje.


Part 2 inakuja ya kilichoendea huko ndani.

**********************************************
Binti halafu ana early 30's??? Unaenda kugegeda halafu unatembea kilomita moja kwa mguu???
 
Dogo hizi story za kutunga una project huko mbele unataka kuifanya???
 
Mabinti waliolelewa kilelemama/kimayai ni shida sana.

Siku ya kwanza kuonana naye nilimuweka kidogo tuu(almost 20 minutes). Akawa anadai eti amechoka kukaa.

Tukaonana for the first time. Ni binti mwenye early 30's. Ila sasa mambo yake na umri hayaendani.

Hiyo siku tukapiga stori weeeh, nikamsindikiza kwao nami nikaenda kwangu.

Makubaliano yetu yalikuwa ni tuwe friends for benefit. Mwenye shida ni yeye na sio mimi, sababu hana mtu wa kumkuna.

Kupanga appointment ya kubenjuana akadai hawezi sleep-over. Kisa eti hajawahi fanya hivo na akifanya nyumbani watamshangaa sana.

Nikasema sio kesi, tukutane mchana tuu, tupige game letu kila mtu akalale kwake/kwao.

Siku ya siku tukaonana. Kwanza tulipokutania na tulipokuwa tunaenda kutulizana ni kama kilomita 1 sema ni njia ya vilima kidogo.

Nikasema ngoja tutembee tuu, kupanda bajaji/boda kwa kilomita 1 ni uzwazwa. Aiseee, njiani kidogo mtoto wa watu ateme roho.

Akipanda kimlima kimoja anahema balaa. Akawa ananiuliza hatufiki tuu? Jibu langu likawa moja tuu, bado kidogo.

Mpaka kuja kufika kasweat balaa na amefura mnoo kwa kumtembeza.

Ndipo akaanza kunambia hajazoea kutembea umbali mrefu namna ile. Pia isitoshe ana tatizo la presha na yupo kwenye dozi.

Pia akadai hajazoea kufanya kazi ngumu kama kufua, kupika n.k. Nyumbani wanamfuliaga na huwa haingii jikoni kupika.

Hapo alipo ana 90kg. Ana presha na ndio kwanza ana 30's yrs. Nikajiuliza huko ndani si naenda kuua?

Ila nikajipa moyo nikasema ngoja nikajionee itakuwaje.


Part 2 inakuja ya kilichoendea huko ndani.

**********************************************
1.Hivi unaijua 1km?
2.Alafu kwa mtoto aliyedekezwa
3. Kwenda kwenye show ya kugegeda!
 
Eeeh babe sasa nikifika huko mood yote imekata unadhani Kuna kitakachofanyika?
Sio Mood yani unakuwa Umechoka balaaa tena kama ndo hili Jua la dar aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119] Labda umpate demu wa kisukumaa...
 
Eeeh babe sasa nikifika huko mood yote imekata unadhani Kuna kitakachofanyika?
Duuuh wanawake mu wavivu sana km 1 tu kweli.
Yaani mimi kiukweli huwa napenda sana kutembea kiukweli yaani sehemu kama haizidi km 3 me huwa naona bora kukanyaga labda niwe na haraka ndio nachukua usafiri.

Naamini unafatilia mpira. Kabla ya match si unaona hata wachezaji huwa wanapasha kidogo? Hiyo pia inasaidia kuuweka mwili sawa kabla ya mtanange.
 
Back
Top Bottom