Mabinti wa Veta Mtwara ni hatari

Mabinti wa Veta Mtwara ni hatari

Kama kuna waislamu, ni hasara kwa wazazi, watoto wanatakiwa kusoma dini tokea wakiwa wadogo mpaka anafikia umri wa kujitambua, ila tumeikumbatia i'lmu ddunia tukasahau elimu ya dini. Matokeo yake ndio hayooooooooooooo.

Waislamu tusomesheni watoto wetu dini, waijue dini yao, wamjue Mtume wetu n.k.
Fact
 
Ko ina maana VETA wanatakiwa waishi km wanafunzi wa o level? Ndo maana wanavaa Sare vile, Lol

Poleee zao. 😂😂😂😂😂
 
Hayo mambo hayapo Veta Mtwara pekee, yapo maeneo mengi yenye vyuo vya Kati na Juu pia

Kuna sehemu kama Wazazi/Walezi tumefeli kuwalea na kuwafanya watoto wetu wa kike na kiume waishi na wakue Kimaadili

Suala la mmomonyoko wa maadili limekuwa janga kubwa kwenye jamii zetu

Athari zake ni maradhi makubwa Kwa Vijana wetu at their young age, kukosa heshima/adabu Kwa wakubwa zao pamoja na kushindwa kuingia Kwenye Ndoa.

Sisi tuliosoma enzi za Mkoloni tuliwahi kufundishwa kwamba Demand na Supply ni catalyst ya kufanya watu waingie kwenye Ndoa ama wasiingie

Huwezi kutamani Kuoa(Hasa timu Kataa Ndoa) wakati ukiwa na nyege zako unajua utampigia rafiki yako Mwanaisha atakuja utaichapa then utaendelea na maisha yako

We parents, have to change and being responsible for the future of our generation
 
Hayo mambo hayapo Veta Mtwara pekee, yapo maeneo mengi yenye vyuo vya Kati na Juu pia

Kuna sehemu kama Wazazi/Walezi tumefeli kuwalea na kuwafanya watoto wetu wa kike na kiume waishi na wakue Kimaadili

Suala la mmomonyoko wa maadili limekuwa janga kubwa kwenye jamii zetu

Athari zake ni maradhi makubwa Kwa Vijana wetu at their young age, kukosa heshima/adabu Kwa wakubwa zao pamoja na kushindwa kuingia Kwenye Ndoa.

Sisi tuliosoma enzi za Mkoloni tuliwahi kufundishwa kwamba Demand na Supply ni catalyst ya kufanya watu waingie kwenye Ndoa ama wasiingie

Huwezi kutamani Kuoa(Hasa timu Kataa Ndoa) wakati ukiwa na nyege zako unajua utampigia rafiki yako Mwanaisha atakuja utaichapa then utaendelea na maisha yako

We parents, have to change and being responsible for the future of our generation
Fact
 
Wengi mno..
Watoto wenye viuno vyao..
Aiseee mtwara wale wamakonde wanajua aiseee
Nifanyeje sasa ili niwe nao karibu hapo Veta? Nichukue fomu nijiunge ili niwe nao karibu kabisa au niwe naenda kupiga misele?
 
Wengi mno..
Watoto wenye viuno vyao..
Aiseee mtwara wale wamakonde wanajua aiseee
Nifanyeje sasa ili niwe nao karibu hapo Veta? Nichukue fomu nijiunge ili niwe nao karibu kabisa au niwe naenda kupiga misele
 
Nifanyeje sasa ili niwe nao karibu hapo Veta? Nichukue fomu nijiunge ili niwe nao karibu kabisa au niwe naenda kupiga misele?
Sema we jau sana
An uchukue fomu kabisa kisa hawa watoto..

Mkuu nikushauri we achan nao.kabisa.
Karibu huku msanga mkuu utakutana na watoto wakali kabisa ambao hawapo mazingira ya chuo.

Usikatishe ndoto za hawa watoto mkuu kumbuka hata wewe una binti huku chanika
 
Back
Top Bottom