LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,121
- 27,128
Baada ya x mass nitarudi Dar but kwanza ntachukua fomu VETA pale Shangani Ntwara kwa short course ya mwezi mmoja au miezi mitatu ( Jina la course kapuni)
So nitakuwa napiga ndege wawili kwa pamoja ๐ 1. Kufanya utalii wa ndani 2. Ku acquire new vocational skills ambayo nitakuja kui apply in my business when I get back to Dar.
Road distance between Mtwara town na Newala ๐ 2 and a half to 3 hours.
Road distance between Mtwara and Masasi ๐ Almost the same as above.
Kuwa hapo VETA ni faida kubwa kwangu kwa sababu๐
Nitatengeneza network na wadada wa Mtwara tena wa age ninayo itaka ( 18 to 22) na ambao sio wanafunzi wa sekondari.
Nitakuwa na ukaribu zaidi na wasichana ambao ni wasichana. Silali na malaya wanao jiuza. Natembea na wasichana ambao ni wasichana. Nimuone msichana nimpende nimtongoze hadi anikubali. Yule niliyo kutana nae juzi sio malaya anae jiuza mtaani , ni mdada, 20 ambae nilikutana nae sehemu nikamuimbisha mpaka akanielewa.
So nitakuwa napiga ndege wawili kwa pamoja ๐ 1. Kufanya utalii wa ndani 2. Ku acquire new vocational skills ambayo nitakuja kui apply in my business when I get back to Dar.
Road distance between Mtwara town na Newala ๐ 2 and a half to 3 hours.
Road distance between Mtwara and Masasi ๐ Almost the same as above.
Kuwa hapo VETA ni faida kubwa kwangu kwa sababu๐
Nitatengeneza network na wadada wa Mtwara tena wa age ninayo itaka ( 18 to 22) na ambao sio wanafunzi wa sekondari.
Nitakuwa na ukaribu zaidi na wasichana ambao ni wasichana. Silali na malaya wanao jiuza. Natembea na wasichana ambao ni wasichana. Nimuone msichana nimpende nimtongoze hadi anikubali. Yule niliyo kutana nae juzi sio malaya anae jiuza mtaani , ni mdada, 20 ambae nilikutana nae sehemu nikamuimbisha mpaka akanielewa.