Mabinti wa Veta Mtwara ni hatari

Mabinti wa Veta Mtwara ni hatari

Sema we jau sana
An uchukue fomu kabisa kisa hawa watoto..

Mkuu nikushauri we achan nao.kabisa.
Karibu huku msanga mkuu utakutana na watoto wakali kabisa ambao hawapo mazingira ya chuo.

Usikatishe ndoto za hawa watoto mkuu kumbuka hata wewe una binti huku chanika
Nakatisha ndoto zao kivipi tena?
Msanga ipi? Zalala au sokoni? Napajua vizuri sana huko ndo nyumbani kwao na Bimkubwa wangu.
 
Nakatisha ndoto zao kivipi tena?
Msanga ipi? Zalala au sokoni? Napajua vizuri sana huko ndo nyumbani kwao na Bimkubwa wangu.
Duuuh hatari hyo mpaka zalala na sokomi mkuu basi we ni mwenyeji bana...
🙌🙌🙌🙌😂😂😂😂 Hapa sina mengi aisee nikajua naongea na mgeni wa huku kwetu
 
Duuuh hatari hyo mpaka zalala na sokomi mkuu basi we ni mwenyeji bana...
🙌🙌🙌🙌😂😂😂😂 Hapa sina mengi aisee nikajua naongea na mgeni wa huku kwetu
Huko nyumbani kabisa mkuu namjua kila mtu huko hadi Ngongere , Malui kote kwangu huko
 
Wale ni sawa na wa vyuo vingine tu, wanajiachia ili wapate za matumizi
 
Kama kuna waislamu, ni hasara kwa wazazi, watoto wanatakiwa kusoma dini tokea wakiwa wadogo mpaka anafikia umri wa kujitambua, ila tumeikumbatia i'lmu ddunia tukasahau elimu ya dini. Matokeo yake ndio hayooooooooooooo.

Waislamu tusomesheni watoto wetu dini, waijue dini yao, wamjue Mtume wetu n.k.
Bwana mkubwa! Unaongelea mambo ya uislamu na dini ukiwa upande gani wa nchi?
Mimi nakaa kwenye jamii yenye waislamu wengi, ni kitu cha kawaida kukuta mabinti watatu eamezalia nyumbani, bila ndoa.
Hali ni tete Mkuu.
 
Back
Top Bottom