Quinton Canosa
JF-Expert Member
- Nov 2, 2012
- 1,228
- 1,264
- Thread starter
- #21
Wengi wanajiuza hasa kwa wanaume ambao ni sawa na baba zao,ushaidi nunaonyesha jamani hata kwa macho yetu tunajionea hata kama maisha magumu dada zangu tuvumilie wengi hawapendi kutoka na vijana wenzao c wanaona hawana pesa lakini evelyn believe me dadaz wa chuo wengi wanakokopi na kupesti globalization without editing,lets us respect ourselves