Mabinti wa chuo kunani?

Mabinti wa chuo kunani?

Quinton Canosa

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2012
Posts
1,228
Reaction score
1,264
Siku hizi sio ajabu kuona mabinti wengi wa vyuoni ndio wanaoongoza kwa maadili mabovu hasa vitendo vya umalaya na mambo mengine yanayohusiana na hayo kunani jamani mpaka imefikia kipindi mnaogopwa na jamii badilikeni basi dada za maana ni uchafu mtupu halafu mnajiita wasomi..........kweli naamini msoni malaya ni hatari sana kumshinda yule asiyeelimika hebui wadau tujadiliane kuna ni ni mpaka maadili yameshuka sana vyuoni nowdays
 
Mzaramo mwenye diploma ni hatari kuliko mchaga mwenye digirii. Source uknown
 
Siku hizi sio ajabu kuona mabinti wengi wa vyuoni ndio wanaoongoza kwa maadili mabovu hasa vitendo vya umalaya na mambo mengine yanayohusiana na hayo kunani jamani mpaka imefikia kipindi mnaogopwa na jamii badilikeni basi dada za maana ni uchafu mtupu halafu mnajiita wasomi..........kweli naamini msoni malaya ni hatari sana kumshinda yule asiyeelimika hebui wadau tujadiliane kuna ni ni mpaka maadili yameshuka sana vyuoni nowdays

Anaza student of ticha snowhite, jawabu ni kwamba waume za watu hawatulii kwenye ndoa zao, so ndio visababishi
 
Tangu ibada za vitu badala ya utu zianze na wakubwa kukosa maadili kila kitu kimeharibika. Anayejiuza ili apate shahada si msomi ni malaya wa kawaida sawa na wale ambao hawakupata bahati ya kufika chuo. Wao wanaweza kumzidi kwa vile huenda wangepata bahati hiyo wangeitumia vizuri. Ni hatari kwa wenye watoto wanaosoma vyuo vyetu kwa sasa. Wakubwa haliwatishi hili kwa vile wengi wao wanasomesha watoto wao Ulaya. Hivyo ni juu ya wahusika kubadilika vinginevyo miwaya itawamaliza ukiachia mbali kutoolewa watakapofikia umri wa kufanya hivyo. Wajaribu kuangalia baadhi ya makabila yanayoabudia vitu mabinti zao wanavyosota linapokuja suala la kuolewa.Asiyejua kufa atazame kaburi.
Siku hizi sio ajabu kuona mabinti wengi wa vyuoni ndio wanaoongoza kwa maadili mabovu hasa vitendo vya umalaya na mambo mengine yanayohusiana na hayo kunani jamani mpaka imefikia kipindi mnaogopwa na jamii badilikeni basi dada za maana ni uchafu mtupu halafu mnajiita wasomi..........kweli naamini msoni malaya ni hatari sana kumshinda yule asiyeelimika hebui wadau tujadiliane kuna ni ni mpaka maadili yameshuka sana vyuoni nowdays
 
fafanua shost mbona unatuonea jamani au kosa letu kuwapokea na kuwakaribisha jijini.

King'asti mwenye access ya internet ni hatari kuliko Interahamwe mwenye mzinga.
 
Hii ya ma dent kujiuza naisikia mno hapa jf
ukiuliza wapi wanapojiuza hujibiwi.
ukisema weka namba zao hapa hao wanaojiuza
hakuna anaeweza...
mostly ni hisia tu..
sababu wadada wanaojiuza ni age ile ile ya ma denti na mavazi yale yale...
 
Hii ya ma dent kujiuza naisikia mno hapa jf
ukiuliza wapi wanapojiuza hujibiwi.
ukisema weka namba zao hapa hao wanaojiuza
hakuna anaeweza...
mostly ni hisia tu..
sababu wadada wanaojiuza ni age ile ile ya ma denti na mavazi yale yale...
mi najua wanapojiuzia. Nikuelekeze bossman?
 
King'asti mwenye access ya internet ni hatari kuliko Interahamwe mwenye mzinga.
hahaha, na ujue lazma ikule kwako kiranga. Yaani kila unachofanya ama kusema, king'asti kinaGOOGLE. Unakuwa hauna mupya, lololo
 
hahaha, na ujue lazma ikule kwako kiranga. Yaani kila unachofanya ama kusema, king'asti kinaGOOGLE. Unakuwa hauna mupya, lololo

Hakuna kipya chini - au hata juu na pembeni- ya jua, hata Mpemba Efect Wagiriki walishaizungumza kina Aristotle. Google that.

Kama mbishi niambie kitu kimoja kipya.

Hata ubaguzi wako wa makabila kijumla jumla hauna kipya chochote.
 
Wakimaliza vyuo wanakutana na mengi ikiwepo kuombwa rushwa ya ngono ili wapate kazi, labda wameamua kupata ujuzi mapema ili mpaka wanamaliza chuo wawe wameshakubuhu!
 
Wakimaliza vyuo wanakutana na mengi ikiwepo kuombwa rushwa ya ngono ili wapate kazi, labda wameamua kupata ujuzi mapema ili mpaka wanamaliza chuo wawe wameshakubuhu!

una akili wewe sana, sometime experience mata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom