Extra focus
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 624
- 1,177
Ni kweli mkuu. Kitu pekee unachoweza ni kumhudumia mwanao au ndugu yako wa kike kadri unavyoweza na kumlea awe na hofu ya Mungu.Hapana ila mimi pia nina dada na pia M/Mungu atanijalia watoto wa kike huko baadae.
#Chizi anachekesha kama sio ndugu yako vile vile mwanamke anayevaa na kutembeza kitumbua hovyo anafurahisha kama sio mama yako wala dada yako.
Nje ya hapo hakuna kitu unaweza fanya