dorge
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 235
- 365
Toa ushauri wanaoanza waambiwe Nini ili waepuke. Toa ushaurimalezi mabovu na tamaa ni vitu vibaya vibaya sana.
Toa ushauri wanaoanza waambiwe Nini ili waepuke. Toa ushaurimalezi mabovu na tamaa ni vitu vibaya vibaya sana.
Ikifika mda wa kupika visheti tutakuitaNipatie mmoja nipasie kwa mpira wa kichwa
Kwani wewe unajuaje kuwa huyu siyo bikira? Si unamchana live kabisa kuwa nikikuta haupo bikira ndoa inaishia hapounajuaje kama bikra mkuu
sawa sawa mkuuKwani wewe unajuaje kuwa huyu siyo bikira? Si unamchana live kabisa kuwa nikikuta haupo bikira ndoa inaishia hapo
Kwenye mambo kama haya usabato na ulokole uweke pembeni kabisaaa... mshawishi umle kabla ya ndoa japo mimi nilikutana nae kwenye ndoa akiwa bikra
Umeongea ukweli JaddaHapana mimi sisemagi hamjiamini bali nasemaga mkitaka wanawake wajitunze basi wanaume acheni kuwachezea hivyo kwa kifupi nanyi hamna budi kukubali kujitunza, mambo ya kusema eti wanakubali kwa ujinga wao na kwamba wao ndio wanapata madhara hiyo ilikuwa zamani siku hizi tunaona mnaoongoza kulalamika ni ninyi kwa sababu ya kukosa wanawake wenye sifa mnazozitaka, nimependa mtoa mada naye aliposema kwamba na wanaume muache kuwachezea hao mabinti bora yeye amejua kwamba suala la wanawake kutojitunza siyo kosa lao peke yao bali la wanaume pia hivyo wote wanatakiwa kuwajibika
Kawaida sanaMwana chuo atoke na konda? Kinyozi? Boda boda?
Hata km ni ugumu wa maisha, he'll no.
Mbona wa kiume wanatoka hadi na wafanya usafi na wauza vitafunwaMwana chuo atoke na konda? Kinyozi? Boda boda?
Hata km ni ugumu wa maisha, he'll no.
Unayo hela ya chips kuku nikupe?Nipatie mmoja nipasie kwa mpira wa kichwa
Pesa, unawadharau makonda, boda, vinyozi sio hao mzunguko wa hela kwao ni mkubwa na wanapita sana na keMwana chuo atoke na konda? Kinyozi? Boda boda?
Hata km ni ugumu wa maisha, he'll no.
Yaan binafsi kuna class ya mtu wa ku date nae,Pesa, unawadharau makonda, boda, vinyozi sio hao mzunguko wa hela kwao ni mkubwa na wanapita sana na ke
Umesema wa kiume, sasa hapa uzi unawahusu wa kike.Mbona wa kiume wanatoka hadi na wafanya usafi na wauza vitafunwa