Mabinti vyuoni wanachapika sio masihara

Mabinti vyuoni wanachapika sio masihara

Sijuagi kwanini mnapenda sana hii mentality, nilikua naona km vile una hoja, ila hapa nadiriki kusema acha kujipa umuhimu ktk maisha ya watu.

Mama, dada, ndugu zako wa kike, kaa nao huko kwenu na uwaambie hayo uyatakayo, ili waya epuke.

Sio unakuja hapa kutoa hizi njegeka zako? Nani hajui hilo? Au wee ndo wa kwanza kupita huko chuoni? Na uta paacha pia,

Sorry km nimekukwaza, 😂😂😂😂😂
Je kwa upande wako marindayako Salama?
 
Huyo kijana smart mtulivu ni kutoka Sayari ya Mars au hapa hapa bingo?

Halafu mbona hata hawa wa kitaa wanachapika sana na wauza simu, Boda boda, Waeka movie na Wauza chips?

Mmezidi kulalamika kuliko wanao liwa yaani, as if mnalipia kodi
 
Wakuu habari.

Leo nimekaa nikafikiria hili suala sana kuhusu kuoa hasa msomi na mambo ninayoshuhudia vyuoni ni noma na nusu tangu nipo diploma mpaka leo napiga bachelor kwakweli mambo yanasikitisha sana wazee.

Mabinti kuanzia mwaka wa kwanza mpaka anamaliza wanahama tu magheto ya wana. Binti huyu baada ya muda atahitimu atakutakana na kijana mwingine smart mtulivu ataolewa nae hapo ndo kijana yule hakuna rangi ataacha kuona.

Na sisi wanaume wazee dah tupunguze kupiga na kuharibu hawa wanawake mnasababisha matatizo makubwa kwa waoaji.

NB:Sio chuki ni mawazo tu na sio wote
Consistency is everything, wamechagua umalaya basi sawa haina noma
 
Chuo ni kawaida kuishi unyumba tena demu anafanya majukumu kama mke kabisa kufua kupika na kupiga pasi nguo za jamaa yake 🤣🤣 afu na usikute unapewa penzi kila siku asee chuo raha sana jmn
Kutoka kuwa afisa habari wa jeiefu mpaka uzinzi
 
Sijuagi kwanini mnapenda sana hii mentality, nilikua naona km vile una hoja, ila hapa nadiriki kusema acha kujipa umuhimu ktk maisha ya watu.

Mama, dada, ndugu zako wa kike, kaa nao huko kwenu na uwaambie hayo uyatakayo, ili waya epuke.

Sio unakuja hapa kutoa hizi njegeka zako? Nani hajui hilo? Au wee ndo wa kwanza kupita huko chuoni? Na uta paacha pia,

Sorry km nimekukwaza, 😂😂😂😂😂
Mzinzi kazini🤣🤣🚮🚮
 
Huyo kijana smart mtulivu ni kutoka Sayari ya Mars au hapa hapa bingo?

Halafu mbona hata hawa wa kitaa wanachapika sana na wauza simu, Boda boda, Waeka movie na Wauza chips?

Mmezidi kulalamika kuliko wanao liwa yaani, as if mnalipia kodi
UNAHOJA USIKILIZWE

MWISHO WA KUNUKUU!
 
Back
Top Bottom