Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,352
]Walaumiwe wote,[/COLOR] wote wanasex bila kinga unategemea itoke friji? halafu mwanaume gani ategewe mimba?kwanini usisitize kutumia kinga hata kama mwanadada anakuwa anafahamu vizuri mzunguko wake?
Kwanini ulizimishwe kumuoa mtu kisa kabeba mimba? huna maamuzi yako? ina maana hata kama hujampenda utamuoa tu hivyohivyo?!!!
nadhani hapa wa kulaumiwa ni mkaka...mdada alikuwa na lengo lake na limetimia, sasa mkaka anataka kukwepa jukumu la mimba kwamba hakujulishwa cycle.....mxsiii..