Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,397
- 7,979
Sio siri baada ya kumpa Aunt Ezekiel mimba nakubaliana na wewe kuwa huyu jamaa ni mchapakazi....
Dah kamjaza mimba? Ina maana alikuwa anapiga stereo aka kavu aka etutana jango na jango bila kondomu. Kweli viongozi hatuna what if akanasa miwaya na kumuambukiza Faraja Kota miss Tanzania wetu...