Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,397
- 7,979
Hahahahahaha mkuu umenichekesha sana aisee......je umepata habari ya mujini kuwa Aunt Ezekiel ana mimba ya waziri wetu, hivyo jiandae mwakani kuongezewa kodi kwa wingi manake inasemekana ni mapacha aka twins
Ila tuache utani kale katoto ka Aunty Ezekiel kana paja za haja Sana, wallah hata ningekuwa Mimi Nyalandu ningefia kwenye kidonda tu. Na kanavyoonekana TAFUNIKABO hata goli likikatikia simshauri afanye mauaji, namuomba msamaha mamaa FK then life goes
