mtanzania1989
JF-Expert Member
- May 20, 2010
- 4,066
- 6,759
Ngoja nyumbxx waje kujikumbusha kidogo
mbona haya yalizungumzwa 2014Tulipaswa kuhoji haya kabla hajaondoka lakini kusubiri kuondoka kwa mtu ndo tuanze kuyasema mapungufu yake inatupa shida kidg ss tusio na vyama.
Ukimuangalia usoni tu anaonekana mnafiki, anahofu hana amani yote hiyo kwa sababu anajijua yeye si msafi. haina haja ya kumtetea wala kumsakama nafsi yake inamtesa mwenyewe., hata yeye anashangaa kwa nini mpaka leo bado ni waziri kwa nini hawajibishwi.
Ndo hii wizara kazi zake zinafanywa kupitia Aunt Ezekiel?
Kamanda bado upo?Kamanda kweli wewe ni mwana psychologia aliebobea, yaani nyalandu kama unavyosema ukimwangalia tu usoni ni bonge la mnafik sijawai pata kuona tokea nizaliwe....Jana mke wake alirudi kwao kwa maana nyingine ndoa yao is over and over baada ya Faraja mke wake kugundua kuwa Aunt Ezekiel ana mimba ya Nyalandu, kumbe mchezo ulikuwa tokea zamani....hizi taarifa ni za ndani kabisa na aliyeniambia ni mke wangu ambaye ni best sana sana wa Faraja kota....
Akiwa kwetu mzuri akiondoka tunaponda..
Siasa ni unafiki..
Taarifa zake Nyalandu, za awali, ndizo zilimnyima nafasi kwenye Serikali ya Magufuli.Aisee mmeanza kufukua makaburi
Hivi ni nani aliyepewa kinyago cha million 200!Taarifa zake Nyalandu, za awali, ndizo zilimnyima nafasi kwenye Serikali ya Magufuli.
Kwa kuzingatia hatua zinazochukuliwa ndani ya CCM na Serikalini, hakika viongozi walioshiriki kuhujumu uchumi wa nchi hii, hawatabaki salama.
Tahadhari kwa viongozi wa vyama vya upinzani kuwapokea viongozi wa CCM mlio watuhuma ufisadi, kwamba mnajitengenezea jeneza kwa maziko ya mwaka 2020. Tutawakumbusha maovu ya kila kiongozi aliyehamia kwenu ili wapiga kura wawachimbie makaburi saizi yao.
Akihamia Chadema mtasemaje?Hivi ni nani aliyepewa kinyago cha million 200!
au yuko kwenye mahakama ya mafisadi?
AiseeKamanda kweli wewe ni mwana psychologia aliebobea, yaani nyalandu kama unavyosema ukimwangalia tu usoni ni bonge la mnafik sijawai pata kuona tokea nizaliwe....Jana mke wake alirudi kwao kwa maana nyingine ndoa yao is over and over baada ya Faraja mke wake kugundua kuwa Aunt Ezekiel ana mimba ya Nyalandu, kumbe mchezo ulikuwa tokea zamani....hizi taarifa ni za ndani kabisa na aliyeniambia ni mke wangu ambaye ni best sana sana wa Faraja kota....
Akiwa kwetu mzuri akiondoka tunaponda..
Siasa ni unafiki..
Tulipaswa kuhoji haya kabla hajaondoka lakini kusubiri kuondoka kwa mtu ndo tuanze kuyasema mapungufu yake inatupa shida kidg ss tusio na vyama.
Subiri dakika 90... Washaurini tu tume ya uchaguzi wawe fairTaarifa zake Nyalandu, za awali, ndizo zilimnyima nafasi kwenye Serikali ya Magufuli.
Kwa kuzingatia hatua zinazochukuliwa ndani ya CCM na Serikalini, hakika viongozi walioshiriki kuhujumu uchumi wa nchi hii, hawatabaki salama.
Tahadhari kwa viongozi wa vyama vya upinzani kuwapokea viongozi wa CCM mlio watuhuma ufisadi, kwamba mnajitengenezea jeneza kwa maziko ya mwaka 2020. Tutawakumbusha maovu ya kila kiongozi aliyehamia kwenu ili wapiga kura wawachimbie makaburi saizi yao.
usihamishe magoli!! aliyepewa kinyago cha million 200 Ni nani na yuko wap?Akihamia Chadema mtasemaje?
Yale ni maisha private,mbona ww unaloka barabarani hatusemi...Nyalandu anauweza binafsi kiuchumi so kuwa Aunt Ezekiel sio mpaka atumie pesa za Serikali.Kwani Aunt Ezekiel ni project inayoitaji mabillioni Aisee....?Nyarandu anapaswa kujiuzulu kwenye nafasi yake mara moja, kwanza ile kashfa yake ya kutembea na machangu kina Aunt Ezekiel imeidhalilisha ofisi na wizara yake. Haiwezekani waziri akatumia pesa ya serikali kwa ufuska na akaangaliwa tu! Nyarandu anapaswa kuwajibika au kuwajibishwa kwa hili.