Mabilionea wa Dunia na Dini

crankshaft

JF-Expert Member
Jun 12, 2019
1,410
3,376
Elon Musk - Wakati akikubali kuwa mafundisho ya Kikristo ni mazuri, anasema kwamba yeye si mtu wa dini.

Mark Zuckerberg - Amekuzwa katika familia ya Kiyahudi, aligeuka kuwa Atheist. Mwaka 2016 alinukuliwa akisema dini ni muhimu bila kutaja dini yake.

George Soros - Anatajwa kuwa billionea mtoaji zaidi akiwa kajitolea zaidi ya 60% ya utajiri wake (32 us dollar) katika masuala mbalimbali, yeye ni Atheist.

Warren Buffett, Bill Gates, Renald Arnault na Jeff Bezos wanatajwa kama Agnostic, neno linalotumika kwa watu wanaoamini kwamba asili ya mwanadamu haiwezi julikana. They are unreligious!
 
Masonic wananguvu kubwa mno. Kubwa KULIKO mnavyodhani.

Wanawekaza Hadi kwenye Elimu muamini Binadamu ametokana na nyani.

SHETANI alimkabithi kiti yule Mzee WA siku anayejiita muwakilishi WA MUNGU Duniani.
 
Masonic wananguvu kubwa mno. Kubwa KULIKO mnavyodhani.

Wanawekaza Hadi kwenye Elimu muamini Binadamu ametokana na nyani.

SHETANI alimkabithi kiti yule Mzee WA siku anayejiita muwakilishi WA MUNGU Duniani.
Mtu amekaa na kugundua mtandao wake ambao hata wewe unatumia,wewe unasema masonic.


Halafu kati ya anayeamini binadamu katokana na nyani na yule anayeamini aliumbwa na mtu mmoja ili ale raha halafu akamtegeshea kamti pale kati Hali akijua atakula tunda, nani illogical between the two???
 
Back
Top Bottom