Mabilionea Kanda ya Kati ni shida

Mabilionea Kanda ya Kati ni shida

Aisee nimekaa hapa hii kanda ya kati yaan dodoma nimegundua kumbe kuna matajir hatari zaid hata ya kanda ya ziwa na kanda ya kazkasin hawawez kuwafikia hata kwa dawa,

Ni watu ambao wanamiliki mkwanjwa wa adabu lakin jamaa hawana mbwembwe nyingi kama za wasukuma na wachaga za kutembelea hama na gari zilizoandikwa plate number za majina yao na ni wakimia baraa hawa watu ni shida

Nakutajia baadhi yao tu
A Bhanji
B Boss Ngasa
C Peter Fasion
D Kifimba na Kimbinyiko

Nawasilisha chalenge za matajiri wa pande uko uliko zinaruhusiwa hata kama ukiwaweka hapa ni sawa tu
matajiri wapo moro mkuu huko wana hela ya mbuzi tu
 
Ni baba ako mzazi. Hunijui...?? Niliondoka nyumban ukiwa mdogo, nikakuacha na mama yko kwenda kukutafutia maisha mwanangu.
Kumbe wewe ndo mzazi wangu vp kuhusu hayo maisha uliyoenda kuyatafuta ulishayapata mzaz
 
Huyo maneno ndo nan mkuu ana miliki nini na nini na ni kabila gan
Huyo maneno ni mgogo,anamiliki kampuni la usafirishaji long vehicles,,anapatkana karibia na veta dodoma kota za reli ndo yard yake ilipo,,ana scania zaid ya mia tatu ,yupo vizur....
 
Huyo maneno ni mgogo,anamiliki kampuni la usafirishaji long vehicles,,anapatkana karibia na veta dodoma kota za reli ndo yard yake ilipo,,ana scania zaid ya mia tatu ,yupo vizur....
Maneno ni ndugu zake kina damasi mallya,edmund mallya,yeye anaitwa felix mallya.na ni mchagga wa kibosho okaoni.nikusahihishe tuu dodoma hakuna mgogo anaeleweka kwa ela pale
 
Aisee nimekaa hapa hii kanda ya kati yaan dodoma nimegundua kumbe kuna matajir hatari zaid hata ya kanda ya ziwa na kanda ya kazkasin hawawez kuwafikia hata kwa dawa,

Ni watu ambao wanamiliki mkwanjwa wa adabu lakin jamaa hawana mbwembwe nyingi kama za wasukuma na wachaga za kutembelea hama na gari zilizoandikwa plate number za majina yao na ni wakimia baraa hawa watu ni shida

Nakutajia baadhi yao tu
A Bhanji
B Boss Ngasa
C Peter Fasion
D Kifimba na Kimbinyiko

Nawasilisha chalenge za matajiri wa pande uko uliko zinaruhusiwa hata kama ukiwaweka hapa ni sawa tu
Utabakia kusifia wenzako kuwa ni mabilionea jitume na ww uwe bilionea ili usifiwe usibakie kusifia tu watu ambao hata hawakujui kuwa unawasifia
 
Hao uliowataja kwa asili sio wa Dodoma hao wa kuja wote hapo, asili ya majina yao ni huko unakopakataa,. Huko Dodoma wamekuja kuchuma tuu.
Bora angemuweka Bilionea Le mutuz ndo mwenye asili ya Dom
 
Back
Top Bottom