Kwa hiyo avatar yako ningekuwa nahis mkojo kila mara!Kwa vigezo unavyovitumia na mimi nisipokua makini nitakua miongoni mwa hao matajiri
Huyo maneno ndo nan mkuu ana miliki nini na nini na ni kabila ganUpo wrong mkuu,,hapo ambe upo sahihi ni bhanji tuu,,hao wengine wote makanjanja,,huyo boss ngasa hamna kitu,huyo kifimbo nakaa nae mtaa mmoja kilimani,peter fashion hawez mfikia hata masanja mkandamizaji,,,,sasa nakupa list ya wachache ninaowafahamu
1…Bhanji
2…maneno
3…shabiby
4…saldina
Mhindi mkuuSamahan iv ivory ni mhindi au mwarabu au mbongo
Wewe kweli ni mganga wa ukoo sasa hebu nitajie matajili unaowajuaWewe bado mshamba wa dodoma yaan naye Peter fashion ni billione? Au matangazo ya radio mwangaza yanakudanganya!
Yaan wewe mgogo utakuwa umetoka kwenu kitambo sana sasa umerud na mawenge.
Yatazame majina yao kisha useme kama yana asili ya wagogo.Hebu nambie ni wawapi hao
Wanapinga ubilionea wa ngasa sababu ni wa kanda ya ziwa ngosha
Kuna watu bado wanapanda Hummer mpaka leo?Aisee nimekaa hapa hii kanda ya kati yaan dodoma nimegundua kumbe kuna matajir hatari zaid hata ya kanda ya ziwa na kanda ya kazkasin hawawez kuwafikia hata kwa dawa,
Ni watu ambao wanamiliki mkwanjwa wa adabu lakin jamaa hawana mbwembwe nyingi kama za wasukuma na wachaga za kutembelea hama na gari zilizoandikwa plate number za majina yao na ni wakimia baraa hawa watu ni shida
Nakutajia baadhi yao tu
A Bhanji
B Boss Ngasa
C Peter Fasion
D Kifimba na Kimbinyiko
Nawasilisha chalenge za matajiri wa pande uko uliko zinaruhusiwa hata kama ukiwaweka hapa ni sawa tu
Kule Makutupora?Huyo kimbinyiko alikua mzabuni we tu pale jeshini anampunga si mchezo
Sawa nyumbu wa Ufipa...btw, hivi first lady Wema yupo Arusha au asharudiBuku saba lumumba fc mwenzako huyo
Mhh!!!?? Kumiliki kale kablog nako kumemfanya awe milionea? Nimeamini ndio maana hata kidoti nae anatambulika huko forbesBoss ngasa nae ni bilionea????
Kweli kabisa ni wachaga watupu,niliwahi kuishi Dodoma,Mwez Desemba mji hupooza wote wanaenda kula Mbege,tambiko la mwisho wa Mwaka Uchagani.Umewasahau Consolata Daudi Mallya, TAKAWEDO, Kidia Vision, City Boy, Mshewe, Mselia (alijipiga risasi ishu ya viroba), perugina, Mmiliki wa Okaoni Hotel, na wote ni WACHAGGA, Kanda ya Kaskazini