Mabilionea Kanda ya Kati ni shida

Mabilionea Kanda ya Kati ni shida

Maneno ni ndugu zake kina damasi mallya,edmund mallya,yeye anaitwa felix mallya.na ni mchagga wa kibosho okaoni.nikusahihishe tuu dodoma hakuna mgogo anaeleweka kwa ela pale


Mpashe huyo! bila shaka huyo maneno ni ndugu wa Consolata Mallya wa Kibosho Okaoni pale Mringeni, Mloe, hapo Dodoma ni agent wa TBL, TDL, TANBEV n.k. Wagogo hawana cha maana bhana
 
Aisee nimekaa hapa hii kanda ya kati yaan dodoma nimegundua kumbe kuna matajir hatari zaid hata ya kanda ya ziwa na kanda ya kazkasin hawawez kuwafikia hata kwa dawa,

Ni watu ambao wanamiliki mkwanjwa wa adabu lakin jamaa hawana mbwembwe nyingi kama za wasukuma na wachaga za kutembelea hama na gari zilizoandikwa plate number za majina yao na ni wakimia baraa hawa watu ni shida

Nakutajia baadhi yao tu
A Bhanji
B Boss Ngasa
C Peter Fasion
D Kifimba na Kimbinyiko

Nawasilisha chalenge za matajiri wa pande uko uliko zinaruhusiwa hata kama ukiwaweka hapa ni sawa tu
Rostam aziz anatoka karibia na apo Kanda ya kati ya tabora. Mohammed dewji nae singida
 
Upo wrong mkuu,,hapo ambe upo sahihi ni bhanji tuu,,hao wengine wote makanjanja,,huyo boss ngasa hamna kitu,huyo kifimbo nakaa nae mtaa mmoja kilimani,peter fashion hawez mfikia hata masanja mkandamizaji,,,,sasa nakupa list ya wachache ninaowafahamu

1…Bhanji
2…maneno
3…shabiby
4…saldina
Uongo
 
Aha haaa haaa wanichekesha sana mkuu hao jamaa ndo walaji wakuu wa hiyo kitu lakin wakija hapa wanavunga ni haramu
Kwenye lile jukwaa huwa unanichekeshaga sanaaa mnapo Shindana kwa hoja hatarii sanaaa
 
Mpashe huyo! bila shaka huyo maneno ni ndugu wa Consolata Mallya wa Kibosho Okaoni pale Mringeni, Mloe, hapo Dodoma ni agent wa TBL, TDL, TANBEV n.k. Wagogo hawana cha maana bhana
Kwahiyo nyie wachaga ndo matajiri sana kushinda wote tanzania et
 
Hii kitu inaitwa NGUSU A.K.A KITU CHA BIBI,hatuna Mpango wa kuiacha,ni kama vile Dom wanavyokula VIWAVI JESHI na huku ni hivyo tu mkuu.
Kwahiyo kwenu ugoro ni msosi et
 
Kwenye lile jukwaa huwa unanichekeshaga sanaaa mnapo Shindana kwa hoja hatarii sanaaa
Aha ha haa hata wao hao jamaa wananijua sana had huwa wanaombwa uzi ufungwe maana dude huwa naliamisha kweli kweli
 
Tanzania ina Bilionea Mmoja tu
Mohamed Dewji
Source: Forbes
 
Huyo kimbinyiko alikua mzabuni we tu pale jeshini anampunga si mchezo
Vp hamjawahi kumiss japo hata kuku kwenye siku ya kula kuku? Vipi na mayai mda wa chai hamjawahi kumiss?? Kama hamjawahi basi jamaa yupo vizuri
 
Sasa wewe umejuaje kama niwakimia ...Hawana kitu hao niviji pesa tu tembelea arusha uone mtu anapesa na anakuonesha na unaona ana nunua ndege ana jenga magorofa anasaidia watu ana jenga madaraja ana nunua migodi nakhthalika...sasa wewe unasema watu wakae kimia ? That's oviously u will see
 
Back
Top Bottom