Kizimbuzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 1,569
- 745
Huu uzi jamaa wa kaskazini wameshakuja kuchafua hali ya hewa.
Mkiambiwa ukwel mnaanzaga vimaneno.
Huu uzi jamaa wa kaskazini wameshakuja kuchafua hali ya hewa.
Jamaa wa Kaskazini wanapenda kujisifu sana
Sijui MO na Bakheressa wangekuwa wanatoka huko kwao ingekuwaje?
Paka la Bar huna adabu ww binti njoo nikuoeSawa nyumbu wa Ufipa...btw, hivi first lady Wema yupo Arusha au asharudi
Aisee nimekaa hapa hii kanda ya kati yaan dodoma nimegundua kumbe kuna matajir hatari zaid hata ya kanda ya ziwa na kanda ya kazkasin hawawez kuwafikia hata kwa dawa,
Ni watu ambao wanamiliki mkwanjwa wa adabu lakin jamaa hawana mbwembwe nyingi kama za wasukuma na wachaga za kutembelea hama na gari zilizoandikwa plate number za majina yao na ni wakimia baraa hawa watu ni shida
Nakutajia baadhi yao tu
A Bhanji
B Boss Ngasa
C Peter Fasion
D Kifimba na Kimbinyiko
Nawasilisha chalenge za matajiri wa pande uko uliko zinaruhusiwa hata kama ukiwaweka hapa ni sawa tu
Weka alama ya kuuliza unapouliza.Hapo nauliza mkuu
Kweli kabisa ni wachaga watupu,niliwahi kuishi Dodoma,Mwez Desemba mji hupooza wote wanaenda kula Mbege,tambiko la mwisho wa Mwaka Uchagani.
Hivyo ni kweli Dodoma ina watu wako vizuri, yaani wana mkwanja,lakini ni Mangi
Wamewekeza wap? Pesa nivuwekezaji
Wachaga mumeanza kujisifia
Wewe ni mushi haya sawaHiyo Dodoma nimepiga sana harakati na mimi nikavuja jasho sana.. Ila ukweli mchungu ila usemwe.. Kuna wachaga wana hela chafu hapo.. Hii ipokee ama uikatae.. Ndo ukweli..
Na hiyo hiyo list yako kuna wachaga kama wawili hivi..
Jibu hata ukiliona utalijua?Mbona ropo ropo baada ya kujibu swali
Kujisifia au kula ugoro
Ni baba ako mzazi. Hunijui...?? Niliondoka nyumban ukiwa mdogo, nikakuacha na mama yko kwenda kukutafutia maisha mwanangu.Wewe ni nan